Sunday, December 21, 2014

REAL MADRID MABINGWA WA DUNIA, WABEBA KOMBE AFRIKA

Unaweza kusema kweli huu ni mwaka wa Real Madrid, kwani wamefanikiwa kuitwanga San Lorenzo kwa mabao 2-0 na kubeba ubingwa wa dunia. Madrid wametupia mabao hayo mawili kupitia kwa Sergio Ramos na Gareth Balena kubeba Kombe hilo katika ardhi ya bara maarufu la Afrika. Mechi hiyo ya fainali ya Kombe la Dunia kwa klabu, imepigwa mjini Marakech, Morocco. Cristiano Ronaldo hakuweza kufunga katika mechi hiyo ambayo Madrid imeshinda mara 21 mfululizo. Kwa...

Wednesday, November 19, 2014

Njia 5 za kumrudisha mpenzi wako baada ya kuzinguana

Katika uhusiano kunaweza kutokea ugomvi ambao ni wa kawaida na ambao hauhitaji nguvu kubwa kuumaliza lakini upo ule ambao ukitokea ni lazima nguvu ya ziada itumike ili kuweza kurudi katika mazingira ya amani na furaha. Kutokana na hilo, leo nimeona nizungumzie mbinu tano zinazoweza kukusaidia katika kumrudisha mpenzi wako ambaye mmezinguana lakini bado unampenda. Kumbuka wapo ambao wanagombana na inakuwa ndiyo mwisho wa uhusiano kutokana na ukweli...

HIKI NDO KITU KIKUBWA ALICHOKIFANYA ROONEY DHIDI YA SCOTLAND

ENGLAND imewalaza wenyeji Scotland mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu. Shukrani kwao, wafungaji wa mabao hayo, Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 32 na Wayne Rooney aliyefunga mabao mawili dakika za 47 na 85, wakati bao pekee la wenyeji lilifungwa na Andrew Robertson dakika ya 83. Kwa kufunga mabao hayo mawili, Rooney amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao mengi katika historia ya timu ya taifa ya England kutokana na kufikisha...

JB kuja na filamu ya soka la Bongo

Muigizaji mahari wa filamu, Jacob Stephan aka JB, amesema yupo mbioni kuandaa filamu kuhusu soka la Tanzania. JB ambaye ni shabiki mkubwa Simba alisema hayo kwenye kipindi cha Kili Chart Show cha EATV baada shabiki mmoja kumuuliza kama ana mpango wa kufanya filamu ya aina hiyo. “Kwa sababu wengi wameguswa nitafanya tena filamu nyingine ya mpira, ambayo nitazungumzia moja kwa moja, mpira wa kitanzania, wazo lako nitalifanyiwa kazi na Jerusalem film,”...

Baada ya Mabasi ya Mwendokasi, Kivuko cha Mv. Dar, hii ni nyingine kuhusu usafiri Dar.

Baada ya Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi, Treni, Kivuko cha Mv. Dar es Salaam, leo kuna taarifa nyingine nzuri ambayo inahusu jitihada za Serikali kumaliza tatizo sugu la foleni katikati ya jiji la Dar es Salaam. Taarifa iliyoripotiwa na kituo cha TBC1 , Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli amesema; “… Tuliwatuma wataalamu hawa, na bahati nzuri Chief Executive wa TANROADs hivi karibuni na wataalamu wenzake walienda South Korea.. Serikali ya South Korea...

Wednesday, November 12, 2014

Nuh mziwanda afunguka kuhusu kupewa kichapo na mpenzi wake kila anapokosea

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba. ‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake ‘Nuh Mziwanda’. “Jamani...

Saturday, November 01, 2014

Hiki ndicho kilichotokea ligi kuu England leo, matokeo ya michezo yote yapo hapa

Haya ndiyo matokeo ya ligi hiyo kwa leo;- Newcastle1 – 0 Liverpool FT Arsenal 3 – 0 Burnley FT Chelsea 2 – 1 QPR FT Everton 0 – 0 SwanseaFT Hull 0 – 1 Southampton FT Leicester 0 – 1 West Brom FT Stoke 2 – 2 West Ham ...

DE GEA MCHEZAJI BORA WA MWEZI MAN UNITED KWA ASILIMIA 70

MASHABIKI wa Manchester United wamemchagua kipa David de Gea kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Oktoba wa klabu hiyo, baada ya Mspanyola huyo kupata asilimia 70 ya jura zilizopigwa kwenye mtandao. Licha ya kushindwa kuzuia nyavu zake kutikiswa katika mchezo wowote mwezi huo, De Gea alikuwa katika kiwango kizuri wakati United ikiifunga Everton kabla ya kutoa sare na West Brom ugenini na baadaye na vinara wa Ligi Kuu England, Chelsea nyumbani. Mlinda mango...

ARSENAL YAUA 3-0 ENGLAND, SANCHEZ MBILI PEKE YAKE

ARSENAL imeng’ara katika Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Burnley Uwanja wa Emirates, London. Hadi mapumziko hakuna bao lililokuwa limepatikana na iliwachukia hadi robo ya mwisho ya mchezo, The Gunners kuanza kuhesabu mabao yao. Alexis Sanchez alifunga bao la kwanza dakika ya 70, kabla ya Callum Chambers kuongeza la pili dakika ya 72 na Sanchez tena kuwainua vitini mashabiki wa Arsenal dakika ya 90. Kikosi cha Arsenal kilikuwa;...

RONALDO AFUNGA REAL MADRID IKISHINDA 4-0 LA LIGA NA KUPANDA KILELENI

REAL Madird imeichapa Granada mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania, maarufu La Liga jioni ya leo Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo aliifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya pili, kabla ya James Rodriguez kufunga la pili kipindi cha kwanza, Karim Benzema kufunga la tatu dakika ya 54 na James Rodriguez kukamilisha ushindi huo dakika za mwishoni. Ushindi huo, unaifanya Real ipae kileleni mwa La...

Friday, October 31, 2014

TORRES AFUNGUKA RASMI KUHUSU MOURINHO JUU YA KUONDOKA KWAKE CHELSEA

Mshambuliaji nyota wa Chelsea anayekipiga AC Milan kwa mkopo amesema hakuondoka katika klabu hiyo ya London kwa kulazimishwa na Kocha Jose Mourinho. Torres raia wa Hispania amesema ulikuwa ni uamuzi wake kufanya na maneno yake yameondoa taarifa za utata kwamba Mourinho ndiye alimtaka kwenda Milan kwa mkopo wa miaka miwi...

RASMI ANGA FIFA YAACHIA NEMBO YA KOMBE LA DUNIA 2018, WANA ANGA WA WAITANGAZA

NEMBO ITAKAYOTUMIKA KWENYE KOMBE LA DUNIA MWAKA 2018 NCHII RUSSIA IMEANIKWA HADHARANI KUPITIA WANA ANGA WA NCHI HIYO. WALE JAMAA AMBAO HUENDA MWEZINI. SASA IKO WAZI NA INAJULIKANA IKIWA NI BAADA YA ILE YA ZAKUMI YA AFRIKA KUSINI MWAKA 2010 NA ILE YA BRAZIL 20...

Wednesday, October 29, 2014

RONALDO APIGA HAT TRICK YA TUZO LA LIGA, MESSI AAMBULIA PATUPU

Cristiano Ronaldo amekomba zawadi tatu 'hat trick' za tuzo ya wachezaji bora Ligi ya Hispania maarufu kama La Liga. Huku mpinzani wake Lionel Messi akiambulia patupu, tuzo tatu alizobeba Ronaldo ni pamoja na Mchezaji Bora, Mfungaji Bora na Mshambuliaji Bora wa La Liga. Ilikuwa furaha kubwa kwa Ronaldo ambaye aliongozana na mpenzi wake Iryna Shayk, mwanamitindo kutoka Urusi. Pamoja na Ronaldo kubeba tuzo hizo, timu yake ya Real Madrid imetawala zaidi...

RAY C AHAMUA KUMFUTIA KESI CHID BENZ KESI!

Rehema Chalamila ‘Ray C’. WAKATI nyota wa muziki wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ akikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na madawa ya kulevya akiwa njiani kuelekea Mbeya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ aliyekuwa amemfungulia kesi ya kumpiga katika kituo cha Polisi cha Oysterbay, amefuta shauri hilo na kumsamehe. Akipiga stori na gazeti hili, Ray C alisema ameamua kumsamehe kwa sababu yeye ni mtu wa Mungu na anaamini yanayomtokea...

HIKI NDO KITU KIKUBWA ALICHOKIFANYA BALOTEL AKITOKEA BENCHI USIKU HUU DHIDI YA SWANSEA

KLABU ya Liverpool imeichapa Swansea mabao 2-1 katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Capital One Cup usiku huu Uwanja wa Anfield. Jordan Henderson alipewa beji ya Unahodha, kocha Brendan Rodgers akifanya mabadiliko ya wachezaji tisa katika kikosi chake cha kwanza. Winga wa Swans, Marvin Emnes aliifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 65, kabla ya Mario Balotelli aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Rickie Lambert kusawazisha...

CPL:MATOKEO YA CHELSEA vs SHREWBURY HAYA HAPA

KLABU ya Chelsea imetinga Robo Fainali ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup baada ya kuichapa mabao 2-1 Shrewsbury usiku huu. Chelsea ilipata bao la kwanza mapema tu kipindi wakati mkongwe, Didier Drogba alipomalizia pasi maridadi ya mwanasoka wa kimataifa wa Misri, Mohamed Salah. Lakini Shrewsbury ikapata bao la kusawazisha kupitia kwa Andrew Mangan aliyetokea benchi dakika ya 77, kabla ya Jermaine Grandison kujifunga dakika nne baadaye...

Tuesday, October 28, 2014

Kingine alichozungumza Jackie Chan kuhusiana na mtoto wake kukamatwa na dawa za kulevya.

Mkali wa movie kutoka Hong Kong China, Jackie Chan ameomba vyombo vya habari ‘vijichunge’ na namna vinavyoandika taarifa kuhusiana na kitendo cha mtoto wake kukamatwa na dawa za kulevya kwa kuwa kufanya hivyo si kumuumiza yeye (Jackie Chan) bali ni kumuumiza mama wa mtoto huyo. Jackie Chan amesema kupitia tukio hilo amejifunza kuwa baba bora kitu ambacho hakukijua siku za nyuma. Mtoto wa staa huyo, Jaycee Chan alikamatwa kwa kosa la kukutwa na dawa...

Monday, October 27, 2014

NUH MZIWANDA AHAMUA TENA KUWANYAMAZISHA WANAFKI KWA KUCHORA TATOO NYINGINE YENYE PICHA YA MPENZI WAKE SHILOLE

Wakati Nick Cannon ametoka kufunika Tattoo yenye jina la mke wake Mariah Carey ambaye wametengana kwa kuongeza mchoro mwingine juu yake hivi karibuni, msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda ameongeza Tattoo ya pili ya mpenzi wake Shilole kwenye mkono wake. Nuh amesema mchoro huo wa pili kwenye mwili wake una sura ya Shishi baada ya ile ya kwanza ambayo ni jina la ‘Shishi Bybee’. “Tattoo ya pili ni sura aisee sura ya mpenzi wangu Shishi,” ameiambia 255...

Sunday, October 26, 2014

HII NDO TIMU ANAYOTARAJIA KUTUA DAVID MOYES

KOCHA David Moyes yumo kwenye orodha fupi ya mwisho ya makocha wanaotakiwa na Inter Milan ya Italia inayotaka kumtimua kocha wake wa sasa, Walter Mazzarri. Kocha huyo wa zamani wa Manchester United na Everton anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Mazzarri, ambaye timu yake inacheza na Cesena leo akiwa katika shinikizo baada ya mwanzo mbaya unaoifanya Inter iwe katika nafasi ya tisa kwenye msiamo wa ligi hivi sasa. Moyes mwenyewe amekua akiamini...

Saturday, October 25, 2014

JE UNAFAMAMU NI WASANII GANI WA BONGO WALIMSHTUA SANA DAVIDO KWENYE FIESTA 2014 DAR

Unaambiwa weekend iliyopita kwenye Fiesta ya Dar es salaam mwimbaji Davido wa Nigeria alitumia dakika zake zote kutazama screen zilizokua zimewekwa nyuma ya stage ya Fiesta baada ya kusikia shangwe zilizokua zinapigwa baada ya Wakali wengine kupewa time ya kumiliki stage. Alilazimika kutazama TV hizo kwa umakini baada ya kuona shangwe walilopata WEUSIambapo mashabiki walikua wanaimba nyimbo zao kwa muda mrefu ambapo Davido kabla ya kuuliza alitumia...