Unaweza kusema kweli
huu ni mwaka wa Real
Madrid, kwani
wamefanikiwa kuitwanga
San Lorenzo kwa mabao
2-0 na kubeba ubingwa
wa dunia.
Madrid wametupia mabao
hayo mawili kupitia
kwa Sergio Ramos na
Gareth Balena kubeba
Kombe hilo katika
ardhi ya bara maarufu
la Afrika.
Mechi hiyo ya fainali
ya Kombe la Dunia kwa
klabu, imepigwa mjini
Marakech, Morocco.
Cristiano Ronaldo
hakuweza kufunga
katika mechi hiyo
ambayo Madrid
imeshinda mara 21
mfululizo.
Kwa...