Mshambuliaji nyota wa
Chelsea anayekipiga AC
Milan kwa mkopo amesema
hakuondoka katika klabu
hiyo ya London kwa
kulazimishwa na Kocha Jose
Mourinho.
Torres raia wa Hispania
amesema ulikuwa ni uamuzi
wake kufanya na maneno
yake yameondoa taarifa za
utata kwamba Mourinho
ndiye alimtaka kwenda
Milan kwa mkopo wa miaka
miwili. |
0 comments:
Post a Comment