Habari zilizotukia hivi punde ni kwamba wema na diamond wameacahana rasimi leo asubuh,akiongea na kituo kimoja cha redio wema kwa masikitiko akionekana mwenye majonzi alisema please i dont like to talk about it
Stay tune kwa habari zaidi
Source:mzalendohuru.blogspot.com
Wewe ni MUONGO. Millardayo.com ameweka maongezi ya Wema na Soudy Brown na Wema amekanusha. Wewe unaipa na Title "BREAKING NEWS" ati wameachana, ati na Wema anaongea kwa sauti ya unyonge!! Teh Teh Teh!! Tafuta story mathubuti kaka, achana na umbea wa kucopy.
ReplyDeletemm najisikia amani kuwaona wakiwa wawili na,mungu awajarie wazidi kuwa pamoja
ReplyDelete