Wednesday, November 19, 2014
|
Muigizaji mahari wa filamu, Jacob Stephan aka
JB, amesema yupo mbioni kuandaa filamu kuhusu
soka la Tanzania.
JB ambaye ni shabiki mkubwa Simba alisema
hayo kwenye kipindi cha Kili Chart Show cha
EATV baada shabiki mmoja kumuuliza kama ana
mpango wa kufanya filamu ya aina hiyo.
“Kwa sababu wengi wameguswa nitafanya tena
filamu nyingine ya mpira, ambayo nitazungumzia
moja kwa moja, mpira wa kitanzania, wazo lako
nitalifanyiwa kazi na Jerusalem film,” alisema JB. |
0 comments:
Post a Comment