Showing posts with label Matukio. Show all posts
Showing posts with label Matukio. Show all posts

Thursday, July 10, 2014

AJALI:- BASI LA AMANI LAPATA AJALI MAENEO YA SALANDA MKOANI TABORA, MTOTO MMOJA AFARIKI DUNIA

Basi la Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha. Mashuhuda wanahisi kuwa  chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani abiria wakitafuta vitu vyao 
 Abiria wakiendelea kutafuta vitu vyao
 Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wakisubiri msaada wa usafiri
 Basi la Amani likiwa limepinduka
Kikosi kazi cha Michuzi TV kilicho katika ziara ya kikazi mikoani kikihojiana na baadhi ya abiria asubuhi hii.
Chanzo michuzi blog