|
KLABU ya Manchester United imemsajili Daley
Blind kwa dau la Pauni Milioni 14 katika
jitihada za kocha Louis van Gaal kutatua tatizo
la safu ya ulinzi Old Trafford.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Uholanzi
mara moja amwatumia salamu mashabiki wa
timu hiyo kwa kusema; "Ni heshima kusajiliwa
na United. Siwezi kusubiri kufanya kazi na
klabu dunia,".
Inamaanisha Van Gaal ametumia zaidi ya Pauni
Milioni 150 kwa usajili wa kipindi hiki -
ambacho ni kiwango kikubwa zaidi kuwahi
kutumiwa na klabu hiyo kwa miaka mitano
iliyopita, huku Radamel Falcao naye akiwa
mbioni kukamilisha uhamisho wa mkopo |
BONYA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI KIRAHISI PUNDE ZITUFIKIAPO
0 comments:
Post a Comment