Sunday, October 12, 2014
JOKATE KUOLEWA NA MSANII HUYU WA MAREKANI
Jokate New buzz is that Jokate Mwegelo ambaye ni star mkubwa Tanzania amepata mpenzi mpya baada ya kuwa mpweke kwa mudamrefu sasa baada ya kuacahana na Diamond.
Gossip mpya zinasema kuwa mpenzi mpya wa Jokate ni msanii wa Marekani wa muziki na filamu ingawa bado sio maarufu sana kwani bado anapigana ili kuweka jina lake fresh katika entertainment industry ya Marekani na dunia kwa ujumla.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Jokate kimesema kuwa Jokate na jamaa huyo ambaye kipesa sio haba walikutana takribani miezi miwili iliyopita katika studio zaTV moja nchini South Africa ambayo imemwajiri Jokate kama mmoja wa watangazaji wake(Vj) na mahaba yao kuanzia hapo, inadaiwa zaidi kuwa jamaa kamkubali Jokate na wana mipango ya kuishi pamoja kama mke na mume.
Kikizungumza na Swahiliworld jana chanzo hicho ambacho ni rafiki wa Jokate kilisema..
MADEE ALAZIMIKA KULIPA FAINI ILI KUMALIZA KESI YA UTEKAJI MTU ILIYOKUWA INAMKABILI
MANCHESTER UNITED HII AIBU SASA.
Saturday, October 11, 2014
TAARIFA YA KAMATI YA UTENDAJI YA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA ILIYOKUTANA OKTOBA 11, 2014- DAR ES SALAAM
KIKAO cha dharura cha Kamati ya Utendaji
ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF) kimefanyika leo kujadili matukio ya
hivi karibuni, hasa mwenendo wa wadau wa
Bodi ya Ligi. Shirikisho linatoa tamko kwa
umma kama ifuatavyo: .
1.Kamati ya Utendaaji imesikitishwa na
taarifa za upotoshaji kuhusu kanuni mpya
za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), hivyo
inaomba radhi kwa wadau ambao
wameguswa na kusumbuliwa na matukio
hayo.
2.Kufuatia matukio hayo, Sekretarieti ya TFF
kwa niaba ya Kamati ya Utendaji, imefungua
mashtaka kwenye Kamati ya Nidhamu dhidi
ya Dk. Damas Ndumbaro ambaye ni mjumbe
wa Bodi ya Ligi na Mwenyekiti wa Kamati
ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba. Pia wadau
wote waliohusika na upotoshaji huo
wakiwemo wafanyakazi wa TFF na Bodi ya
Ligi watashughulikiwa kulingana na nafasi
zao.
3.Kutokana na madai ya klabu kuhusu
vipengele kadhaa vya Kanuni za Ligi Kuu
2014/15, Kamati ya Utendaji imepanga
kukutana na viongozi wa klabu za Ligi Kuu
siku ya Jumamosi, Oktoba 18 mwaka huu ili
kuwasikiliza na kushauriana kuhusu
changamoto za kikanuni na uendeshaji wa
mashindano kwa ujumla.
4.Kamati ya Utendaji itaendelea kuboresha
Kanuni za Uendeshaji Bodi ya Ligi
(Governing Regulations) ili kuweka uwiano
wa utendaji na kuepusha tofauti kati ya Bodi
ya Ligi, vilabu na TFF. Aidha Kamati ya
Utendaji itafanya kila linalowezekana
kuboresha ligi kwa kuijengea uwezo Bodi ya
Ligi kwa lengo la kuwa na ligi
zinazoendeshwa kisasa (Professional
Leagues).
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA
MIGUU TANZANIA (TFF).
KOCHA STARS ASEMA KIKOSI CHAKE KIPO TAYARI KUIVAA BENIN
Kocha wa Taifa Stars,
Mart Nooij amesema kikosi
kipo tayari kwa ajili ya
mechi dhidi ya Benin.
Lakini akasisitiza,
haitakuwa mechi laini kama
ambavyo wengi wanafikiri.
"Tumejiandaa vizuri,
tunataka kucheza mpira
mzuri na kushinda, hayo
ndiyo malengo.
"Lakini Benin si timu
laini, hivyo tayari
wachezaji wanajua
wanacheza na timu ngumu
lakini inafungika,"
alisema Nooij raia wa
Uholanzi.
Stars imekuwa kambini kwa
wiki moja sasa ikijiandaa
na mechi hiyo.
Kikosi hicho kitamkosa
Mbwana Samatta ambaye
aliumia katika mechi ya
Ligi ya Mabingwa Afrika
akiitumikia TP Mazembe ya
DR Congo ambayo ilitolewa
kwenye hatua ya nusu
fainali.
Nyota wa nje watakaokuwa
kwenye kikosi hicho ni
pamoja na Thomas Ulimwengu
(TP-DR Congo), Mwinyi
Kazimoto (Al Markhiya-
Qatar) na Juma Luizio
(Zesco-Zambia).
SHEPU YANGU NI KAMA ANDAZI LILILONONA NDIO MAANA NAPATA WANAUME
Mtangazaji wa kituo cha Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida’.Aliweka bayana kwamba anaachika na kupata mwanaume mpya haraka kwa sababu ana shepu ya
kalimati (aina ya andazi linalonona).
MTANGAZAJI wa kituo cha Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida’, juzikati aliamua kutoa siri yake ya moyoni na kuweka wazi juu ya tabia yake ya kuachika na kupata mume mpya mara kwa mara SOMA ZAID>
SAMATTA NA BOCCO WATAKOSEKANA KESHO STARS NA BENIN, NOOIJ ATATUMIA MABEKI WATATU…KWA MFUMO UPI?
King Majuto ajipanga kufanya filamu ya pamoja na Wema na Diamond
MAUAJI YA KUTISHA NDANI YA KANISA LA PAG BUKOBA, TAZAMA PICHA ZA TUKIO HILO
SUAREZ AREJEA RASMI UWANJANI HAPO JANA NA HATOA KALI NYINGINE KATIKATI YA MECHI BAADA YA .....
YULE DEMU TRAFKI ALIYEPIGA PICHA AKIPIGWA MABUSU KICHAKANI HUYU HAPA SASA AKIWA HANA SARE..!
Wezee Nimekutana na Hiyo Picha Instagram, Yule Polisi wa Kike Traffic Watu wamechimba Mpaka Wamepata Picha zake
Akiwa Bila sare za Kazini....
Baadhi ya Comment ni Hizi Hapa :
-mwambie alete CV mi ntamwajiri
-Aje kwangu atalelewa kuliko alivyokuwa huko!Contact pls
-Kajazia Sana hata Ingekuwa Mimi Ningekula Mzigo, hiyo ni ajali kazini
“Nimechoshwa kila siku kusikia Diamond, sasa ni bora nimtafute..." MTOTO MZURI MENINA AFUNGUKA YA MOYONI!
Akipiga stori na gazeti hili, Meninah ambaye ni zao kutoka shindano la kuibua vipaji vya kuimba, Bongo Star Search ‘BSS’ 2012 alisema;
“Nimechoshwa kila siku kusikia Diamond, sasa ni bora nimtafute mwanaume yeyote tu kisha nimtambulishe ili ijulikane siko na Diamond,” alisema Meninah ambaye yupo mbioni kuachia ngoma mpya ya Kaniganda.
Hivi karibuni kulikuwa na tetesi kuwa Meninah anatoka kimapenzi na Diamond, pia Diamond ameshafika kwao kujaribu kutoa mahari ili amuoe.
BAADA YA TRAFIKI SASA NI ZAMU YA POLICE...ANGALIA PICHA ALIOPIGA ASKARI HUYU AKIWA AMELEWA CHAKARI
Jamani sidhani kama kuna haja hata ya kutia neno hapa, picha yenyewe inajieleza! Wadhani hali hii inaashiria nini katika suala zima la nidhamu jeshini?!
Shuka hapo chini utoe maoni yako tafadhali!
BATA BATANI: MAISHA YA INSTAGRAM NI ZAIDI YA MAIGIZO..WATU WANAJUA KULA RAHA ASIKWAMBIE MTU!
MWALIMU APIGANA NGUMI NA MWANAFUNZI WAKE DARASANI, WANAFUNZI WAREKODI VIDEO BADALA YA KUAMULIA
HII NDIYO ARSENAL ILIYOITWA 'ARSENAL KWELI'
THIERRY HENRY KUREJEA ARSENAL JANUARI...AMA ATAKWENDA PSG AU MONACO, AKIMALIZA MKATABA NEW YORK DESEMBA ....! JIBU LIPO HAPA
Friday, October 10, 2014
BREAKING: Msanii wa bongofleva Baba Levo amepata ajali… maelezo yako hapa
CRD MILLARDAYO








