Saturday, October 11, 2014

MWALIMU APIGANA NGUMI NA MWANAFUNZI WAKE DARASANI, WANAFUNZI WAREKODI VIDEO BADALA YA KUAMULIA

Mwalimu wa sayansi katika shule ya Santa Monica High School alimstukia mwanafunzi huyu akijaribu kuuzia wanafunzi wenzake bangi darasani. Alipomkabili kuhusu tendo hilo, mwanafunzi huyo alimsukuma mwalimu huyo na ghafla ngumi zikaanza kurushwa hewani. Mwanafunzi huyo, Blair Moore, alikamatwa na polisi na kufunguliwa mashitaka ya kuingiza madawa, na kisu shuleni.
Wanafunzi wengi walikuwa upande wa mwalimu huyo, ikiwemo kuanzisha

0 comments:

Post a Comment