Saturday, October 11, 2014

HII NDIYO ARSENAL ILIYOITWA 'ARSENAL KWELI'

Hii ilikuwa Arsenal kweli; Wachezaji wa zamani wa Arsenal, kutoka kulia Thierry Henry, Robert Pires na Patrick Vieira na Ashley Cole aliyeipa mgongo kamera walioiwezesha The Gunners kushinda taji la mwisho la Ligi Kuu ya England mwaka 2004, tena wakiweka rekodi ya kutofungwa. Arsene Wenger kwa miaka sasa anapambana kurudisha enzi za mafanikio haya Arsenal.

0 comments:

Post a Comment