Saturday, October 11, 2014
 |
| Hii ilikuwa Arsenal kweli; Wachezaji wa
zamani wa Arsenal, kutoka kulia Thierry
Henry, Robert Pires na Patrick Vieira na
Ashley Cole aliyeipa
mgongo kamera walioiwezesha The Gunners
kushinda taji la mwisho la Ligi Kuu ya
England mwaka 2004, tena wakiweka rekodi
ya kutofungwa. Arsene Wenger kwa miaka
sasa anapambana kurudisha enzi za
mafanikio haya Arsenal. |
0 comments:
Post a Comment