Tuesday, October 21, 2014
Picha: Sitti Mtemvu akanusha kuwa na mtoto, asema ana miaka 23, hatovuliwa taji
HILI NI PIGO LINGINE KUBWA LILILOPATA SANAA YA MUZIKI TANZANIA
KOCHA WA SIMBA PATRICK PHIRI ANUNUA STAA WA JAGWANI
ALIYEBANWA NA CANNAVARO, YONDANI AWAPIGA MAN UNITED BONGE LA BAO
DUNIA INA MAMBO: DAWA YA KUKAMATA WEZI YAZUA BALAA...
NDOA YA RAIS WA DUNIA MATATANI SOMA HAPA HABARI KAMILI LIVE!!
HUYU NDO MCHEZAJI ALIYEFARIKI AKIJARIBU KUSHANGILIA BAO KAMA MIROSLAV KLOSE
EPL: HIKI NDO KILICHOIPATA MANCHESTER UNITED DHIDI YA WEST BROM USIKU HUU
HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MSANII DAVIDO ALIVYOKUA AKIONDOKA TANZANIA!
Monday, October 20, 2014
Ommy Dimpoz atoboa siri ya picha anayoonekana akishuka kwenye treni ‘tusiamini kila tukionacho mtandaoni’
TEAM DIAMOND YAZUNGUMZIA SUALA LA KUZOMEWA KWA DIAMOND KWENYE FIESTA
MILIONI 58 ZAFUTA BAO TATU ZA WAZI SIMBA
CRD:Mwanaspoti
HILI NI PIGO LINGINE KUBWA LILILOIPATA TASNIA YA FILAMU TANZANIA MCHANA WA LEO
Mdogo wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' enzi za uhai wake.
Mdogo wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' amefariki dunia ghafla katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar mchana leo. Msiba upo Sinza Vatican
Benii alikuwa muigizaji na muongozaji wa filamu mbalimbali nchini. Mipango ya mazishi ya kumpeleka kwao Kenya
GPL
HESHIMA: WEMA SEPETU APIGWA BAO NA FLORA MVUNGI NA MUMEWE H.BABA!
BAADA YA MAMBO KUMFIKA SHINGONI: MISS TZ 2014 AKIMBILIA KANISANI
OMMY DIMPOZ: ASANTE VANESSA MDEE KWA KUNIPOKEA FUKO LANGU
ALICHOFANYIWA DIAMOND FIESTA…NIMEAMINI MAISHA BILA UNAFKI HAYAENDI
Nakumbuka miaka mitano iliyopita aliyekuwa nguli wa filamu Nchini Tanzania marehemu “”Steven Kanumba”” alienda kwenye jumba la Big Brother….
amini usiamini bila sababu yyte ya maana watanzania ndo walikuwa wa kwanza kuanza kumsema kuwa hajui kuvaa, nani alimchagua , hajui kiingereza mpaka kufikia kumuigiza!!! Walisahau hata watu maruufu kama Messi na wengine wengi hawajui kuongea kabisa lugha hiyo..
Baada ya kifo chake watanzania hawahawa wakaanza kusema alikuwa nguli aliyetuwakilisha vizuri nje ya nchi na kulia sana!!!kumbe wakati akiwa hai tulikuwa tunamshusha chini..
Miaka mitano baadae Tanzania imempata mtu anayeiwakilisha vizuri nje ya mipaka na kuitangaza vizuri nchi yake..
Pasipokuwa na sababu za msingi (chuki binafsi tu)anapangiwa njama za kuzomewa na kuabishwa katika ardhi ya nchi yake ambayo kwa namna moja au nyingine kuna watu wameifahamu sababu yake!! Ukiuliza sababu za wengi wao kumchukia ni mafanikio yake lakini hata kama humpendi mtu hivi ndo hadi umzomee kwa kiasi kile !!!
leo na kesho naye huyu akitoka utaskia hawahawa waliokuwa wanamzomea wanaanza kusema jamaa alikuwa anatuwakilisha vizuri sana , ametutangaza sana kimataifa!! lakini Watanzania wenzake ndio vinara wa kumuangusha..
Si lazima kila mtu ampende Diamond ila kutumia nguvu kubwa sana kumuangusha mtu ni ishara ya uwoga na Roho ya kimaskini…
Nimeamini “”maisha bila unafki hayaendi”







