Ommy na Vanessa Mdee
“Wiki iliyopita nimejifunza mambo mengi sana
baada ya ile picha niliyodandia treni kusambaa
kwenye mitandao kuna watu waliongelea km
utani,kuna watu walinikebehi,wengine waliweka
kwenye mitandao na kunitusi kabisa,”ameandika
Ommy.
“Ila nilichogundua Sio kila tunachokiona kwenye
mitandao kina ukweli tujaribu kuwa
wachunguzi,tuache mambo ya kucopy na kupaste
jambo la mwisho kabisa siri ya Maisha anaijua
mungu usimdharau mtu kwa muonekano
unayemuona mshamba eti amekukuta mjini kesho
ndo huyo huyo atakayekupa ajira tupendane
tusidharauliane……Asante @vanessamdee kwa
kupokea na fuko langu.” |
0 comments:
Post a Comment