HESHIMA! Wanandoa, muigizaji Flora
Mvungi ‘H.Mama’ na mwanamuziki
Hamis Ramadhan ‘H.Baba’
wamemfunika mwigizaji Wema Sepetu
kwa kupanga ghorofa.
Mjengo wa wanandoa, muigizaji Flora
Mvungi ‘H.Mama’ na mwanamuziki Hamis
Ramadhan ‘H.Baba’
Akizungumzia mjengo huo walioupanga
maeneo ya Mbezi-Jogoo, jijini Dar, H.
Mama alisema yeye na mume wake
wameamua kupanga nyumba hiyo si
kwa sababu ya kumfunika mtu bali
wanapenda kuwa huru na kuishi vizuri. |
0 comments:
Post a Comment