Tuesday, October 21, 2014
|
Msanii Kutoka Nigeria, Adedeji Adelek
maarufu kama ‘Davido' Ameweza
kuwashukuru Watanzania kwa mapokezi
waliyompatia pia pamoja na kushare
jukwaa moja na Msanii kutoka Marekani
T.I amesema hayo kupitia ukurasa wa
Istragram pindi alivyokuwa anaondoka
nchini Tanzania. |
|
"Kwa heri Tanzania 26464! it was great
sharing the stage with trouble man
31...thank you Clouds fm for napkin it
possible and bless my brother
@diamondplatnumz for welcoming me well"
Aliandika DavidoLicha ya kwamba Aliweza
kupikwa Mikwara na baadhi ya Vyombo vya
Habari vya hapa nchi kuziiwa kufanya show
hiyo. |
0 comments:
Post a Comment