Tuesday, October 21, 2014

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MSANII DAVIDO ALIVYOKUA AKIONDOKA TANZANIA!

Msanii Kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido' Ameweza kuwashukuru Watanzania kwa mapokezi waliyompatia pia pamoja na kushare jukwaa moja na Msanii kutoka Marekani T.I amesema hayo kupitia ukurasa wa Istragram pindi alivyokuwa anaondoka nchini Tanzania.
"Kwa heri Tanzania 26464! it was great sharing the stage with trouble man 31...thank you Clouds fm for napkin it possible and bless my brother @diamondplatnumz for welcoming me well" Aliandika DavidoLicha ya kwamba Aliweza kupikwa Mikwara na baadhi ya Vyombo vya Habari vya hapa nchi kuziiwa kufanya show hiyo.

0 comments:

Post a Comment