Baada ya kusambaa kwa picha ya Ommy
Dimpoz anayoonekana akiwa kama kijana
wa kijijini aliyetua mjini Dar es Salaam na
watu wengi kuhisi ni picha yake ya zamani
aliyopigwa wakati anatua Dar (kitu
ambacho si kweli), ameamua kuelezea
hisia
zake.Akiweka picha nyingine kwenye
Instagram lakini awamu hii akiwa na
Vanessa Mdee (ambayo inaonesha kuwa ni
moja ya kazi zake zitakazokuja), Ommy
amesema amejifunza mengi kutokana na
jinsi watu walivyoiongelea picha
hiyo. |
0 comments:
Post a Comment