Friday, October 10, 2014
WACHEZAJI WANAONGOZA KUFUNGA NA KUOKOA PENATI BARANI ULAYA – HAZARD, RONALDO, MESSI NANI ZAIDI?
Jumapili iliyopita, rekodi ya Leighton Baines kufunga penati zote alizowahi kupewa apige ilifikia tamati baada ya golikipa wa David De Gea wa Manchester United aliiokoa penati ya mchezaji huyo wa kimataifa wa England.
Baines, alikuwa na rekodi ya kufunga penati 12 kati ya 12 mbili zlizopewa, lakini akaikosa penati penati yake ya 13 katika uwanja wa Old Trafford, hivyo rekodi yake kushuka mpaka kufikia 92.3%.
Baada ya Baines kuharibu rekodi yake ya kuwa na asilimia 100 katika ufungaji wa penati – je nani mwingine ambaye ana rekodi ya 100% katika ufungaji penati katika ligi kubwa barani ulaya.
Nimejaribu kufanya utafiti wa wachezaji wapigaji penati kuanzia msimu wa 2010-11 – hii tafiti iliwahusu wachezaji waliopiga 10 au zaidi na matokeo yalionyesha kama ifuatavyo…………
Best in Europe and England
– Eden Hazard (Chelsea): 16 penalties, 16 goals = 100%
Best in La Liga
– Cristiano Ronaldo (Real Madrid): 37 penalties, 35 goals = 94.6%
Best in the Bundesliga
– Sejad Salihovic (Hoffenheim): 24 penalties, 21 goals = 87.5%
Best in Serie A
Giuseppe Rossi (Fiorentina): 13 penalties, 12 goals = 92.3%
Best in Ligue 1
Ryad Boudebouz (Bastia): 11 penalties, 11 goals = 100%
MAGOLIKIPA WANAONGOZA KUOKOA PENATI
1. Julio Cesar (ex-QPR, now at Benfica): 11 penalties faced, six conceded.
2. Samir Handanovic (Inter Milan): 29 penalties faced, 16 conceded.
3. Asmir Begovic (Stoke): 12 penalties faced, seven conceded.
4. Bernd Leno (Bayer Leverkusen): 20 penalties faced, 12 conceded.
5. Kevin Trapp (Frankfurt): 13 penalties faced, eight conceded.
SAHAU KABISAA KUHUSU DIEGO COSTA.....! HUYU NDO MCHEZAJI BORA WA EPL MPAKA SASA
CHEKI PICHA ZA MWANAMKE ALIYEVUA NGUO KWA STAGE BAADA YA MZUKA KUMPANDA!
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
IRENE AKANUSHA VIBAYA SANA KUHUSU TUHUMA ZA KUTOKA NA MSAMI .. ! PIA AZUNGUMZIA UJIO WA MOVIE MPYA ALIYOIGIZA NA MSAMI
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
SIMBA SC KUKIPIGA NA TIMU HII KUBWA YA SOUTH AFRICA KUJIANDAA DHIDI YA YANGA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
HUSSEIN MACHOZI NAE KAACHIA NYIMBO INAITWA ""MDOGOMDOGO"" MTANDAO WA KENYA WAMPAMBANISHA NA DIAMOND
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
KAJALA YAMKUTA BAADA YA KUWEKA PICHA YA SIMU AMBAYO AIJATOKA SOKONI AKIDAI ANAYO
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo
Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.
Baadhi ya maoni hayo ni:-
"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina launched we umeitoa wap wakat bado haijaanzwa kuuzwa!dah!kwel sasa naanza kumin maisha yako ni ya kuigiza nakufata mkumbo mumy...pole"
"Duh ... Simu aijatoka hiyo Pre Order imeanza USA & UK tarehe 19/09 lkn retail stores wanaanza kuuza tarehe 17/10 , hiyo pre order kwa watu ambao awataki kumiss ikitoka wanalipia kabisa ikitoka unaenda kuchukua , sasa hiyo umenunua wapi mwenzetu..."
"KAJALA ACHA UONGO HII CM LABDA MCHINA ORIGINAL HAIJATOKA MPKA KWA ORDER LOO MWANAMKE MZIMA MPKA LEO UNARINGISHIA CM PAULA NAE AFANYE NINI"
Wewe unaonaje kuhusu jambo hili la mastaa nchini kuishi maisha ya kuigiza kwa ajili ya kuonekana wapo juu kwa mashabiki wao?
ROY KEANE AMTANDIKA FERGUSON, ASEMA AMEPATA MAMILIONI, JUKWAA, SANAMU LAKINI…
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
BREAKING NEWS: SIMBA SC YAFUKUZA TENA KOCHA, MZUNGU AANZA KAZI AFRIKA KUSINI
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
Thursday, October 09, 2014
ULIONA PICHA HII YA POLISI WA TANZANIA ILIYOSAMBAA MITANDAONI? HATIMAYE MAAMUZI YAMETANGAZWA
JOHARI NA CHUCHU HANS USURA WAZICHAPE TENA KISA PENZI LA RAY, ILIKUA HIVII…
Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video) Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani?
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘
Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.
Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video) Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani?
Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Posted by: Millard Ayo October 8, 2014 AyoTV, Ent.
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘
Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.
MAMBO YA KISHAMBA AMBAYO MWANAUME WA SASA HUTAKIWA KUYAFANYA
1. Kufuata mkumbo, kutokuwa na maamuzi yako mwenyewe.
2. Kuongea lugha chafu, huwezi kumaliza sentensi bila matusi.
3. Kuvaa mlegezo.
4. Kunyoa panki, kiduku au kuacha afro.
5. Kuvaa viatu vya four angles au vyenye soli kubwa.
6. Kukimbia mimba au kutelekeza familia.
7. Kunywa pombe bila kipimo, kushinda bar bila sababu maalumu utadhani wewe kreti.
8. Kuvaa suruali za model au bwanga au kuvaa mayeno.
9. Kumpiga mwanamke awe mkeo, mpenzi wako au hata rafiki tu.
10. Kuwa na hulka ya kupigana, yani huwezi ku-solve tatizo kwa njia nyingine zaidi ya kuwaza kupigana.
11. Kuwa wa kwanza kulala na wa mwisho kuamka.
12. Kuvaa tshirts zenye maneno makubwa na mbaya zaidi yasiyo na maana.
13. Kulakula hovyo, hyo tabia tuwaachie wanawake
14. Kuvaa vitu oversize ili udumu nayo muda mrefu.
15. Kuvaa mikanda oversize, unakuta mkanda mkubwa had uajikunja ukiwa kwenye luks au una buckle kubwa.
16. Kuvaa tshirts zilizokatwa mikono.
17. Kuvaa boshori.
18. Kukaa vijiweni bila kuwa na shughuli ya maana kufanya.
19. Kuwaza starehe muda wote, weekend ikifika utasikia 'mwana bata wapi?'
20. Kuhonga vimada huku wanao hawana viatu au uniform za shule zimechakaa kupitiliza!! Na mbaya zaidi unawalaza hadi njaa we unakula raha na vimada tu by Ligogoma
21. Kuendekeza michepuko ilhali umeoa tena mke mrembo kweli kweli by Ligogoma
22. Kutojiwekea malengo ya kiuchumi, unaishi tu kama ndege.
23. Kuacha mindevu hovyohovyo bila KUNYOA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
MWANAMKE MCHARUKO ATIMULIWA UKUMBINI...KISA KUSHOBOKEA WAUME ZA WATU!
MASKINI KIJANA HUYU, ANUSURIKA KUUAWA KWA KUCHOMWA MOTO AKIDHANIWA NI MWIZI!
POMBE NOMA SANA AISEE: TAZAMA ILIVYOMFANYA HUYU MDADA INAYESEMEKANA NI MKE WA MTU!







