Friday, October 10, 2014

HUYU NDO DIRECTOR NA CAMERMAN ANAYEKUJA KWA KASI HAPA BONGO

Director na camera man anaekuja kwa kasi tanzania katika tansia ya filam unaweza wasiliana nae kupitia namba 0718 858182

WACHEZAJI WANAONGOZA KUFUNGA NA KUOKOA PENATI BARANI ULAYA – HAZARD, RONALDO, MESSI NANI ZAIDI?

Jumapili iliyopita, rekodi ya Leighton Baines kufunga penati zote alizowahi kupewa apige ilifikia tamati baada ya golikipa wa David De Gea wa Manchester United aliiokoa penati ya mchezaji huyo wa kimataifa wa England.

Baines, alikuwa na rekodi ya kufunga penati 12 kati ya 12 mbili zlizopewa, lakini akaikosa penati penati yake ya 13 katika uwanja wa Old Trafford, hivyo rekodi yake kushuka mpaka kufikia 92.3%.

Baada ya Baines kuharibu rekodi yake ya kuwa na asilimia 100 katika ufungaji wa penati – je nani mwingine ambaye ana rekodi ya 100% katika ufungaji penati katika ligi kubwa barani ulaya.

Nimejaribu kufanya utafiti wa wachezaji wapigaji penati kuanzia msimu wa 2010-11 – hii tafiti iliwahusu wachezaji waliopiga 10 au zaidi na matokeo yalionyesha kama ifuatavyo…………

Best in Europe and England
– Eden Hazard (Chelsea): 16 penalties, 16 goals = 100%

Best in La Liga
– Cristiano Ronaldo (Real Madrid): 37 penalties, 35 goals = 94.6%

Best in the Bundesliga
– Sejad Salihovic (Hoffenheim): 24 penalties, 21 goals = 87.5%
Best in Serie A
Giuseppe Rossi (Fiorentina): 13 penalties, 12 goals = 92.3%

Best in Ligue 1
Ryad Boudebouz (Bastia): 11 penalties, 11 goals = 100%

MAGOLIKIPA WANAONGOZA KUOKOA PENATI

1. Julio Cesar (ex-QPR, now at Benfica): 11 penalties faced, six conceded.

2. Samir Handanovic (Inter Milan): 29 penalties faced, 16 conceded.

3. Asmir Begovic (Stoke): 12 penalties faced, seven conceded.

4. Bernd Leno (Bayer Leverkusen): 20 penalties faced, 12 conceded.

5. Kevin Trapp (Frankfurt): 13 penalties faced, eight conceded.

SAHAU KABISAA KUHUSU DIEGO COSTA.....! HUYU NDO MCHEZAJI BORA WA EPL MPAKA SASA

By Aidan Charlie Seif Mechi saba tayari zimechezwa na kila timu tukielekea katika mechi za kimataifa, ebu tuangalia nin nani amekuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya England mpaka kufikia hatua hii. Diego Costa? Sio kwangu mimi. Kura yangu inaenda kwa muargentina Angel di Maria. Ndio ni kweli Costa amekuwa na mwanzo mzuri, lakini amekuja na kuikuta timu ambayo ilitakiwa kushinda taji la ligi msimu uliopita – kama wasingepoteza zile points mwishoni mwa ligi dhidi ya Norwich, Sunderland, Crystal Palace na Aston Villa. Costa amekuja kuikuta timu iliyotulia na kupangwa vizuri, na sio klabu iliyo kwenye anguko baada ya kuwa na msimu mbaya.
Mwanzo mzuri wa Costa umewekwa kwenye kivuli na alichofanya Di Maria ndani ya Manchester United, ambapo amekutana na changamoto kubwa zaidi. Ikiwa Di Maria ataendelea na fomu aliyonayo hivi na United na kufanikiwa kuwapeleka Champions League, kwa hakika jambo hilo litakuwa ni kubwa zaidi kuliko kitu chochote atakachokifanya mchezaji yoyote wa Chelsea msimu huu. Tulichambue hili: Manchester United walikuwa wanatia aibu msimu uliopita. Baada ya zaman za ushindi za Ferguson, akaingia David Moyes. Mchezaji aliyekaa United kwa miaka 12 Rio Ferdinand alipotoa kauli kwamba Moyes alimfanya awe na mashaka juu ya kila kitu kuhusu hatma ya timu hapo unaweza kuona jahazi la Old Trafford lilivyokuwa likizama. Hali ilikuwa mbaya kiasi cha kufikia Nemanja Vidic akakakmilisha uhamisho wake na kuutangaza katikati ya msimu – uliona lini mchezaji mkubwa wa United anafanya hivyo chini ya utawala wa Fergie?
Huku wachezaji wakubwa wakipoteza hali ya kuitumikia klabu, United walikuwa wakielekea kwenye muelekeo mbaya kabisa. Walimaliza katika nafasi ya 7 na hawakushinda kikombe chochote. Baadae wachezaji watatu wa safu ya ulinzi wakaondoka – Ferdinand, Vidic na Patrice Evra. Wachezaji wakubwa na wazoefu kwenye kikosi. Kibaya zaidi kocha mpya akashindwa kuanza kazi mpaka Uholanzi ilipomaliza kampeni yake ya kugombea ubingwa wa dunia, na hata alipoanza kazi akaanza kuandamwa na balaa la majeruhi tena kwa wacheza muhimu – ukiangalia haya yote utafahamu uzito wa kazi iliyopo kuirudisha Manchester United ilipokuwa. Sawa wametumia fedha – na walihitaji kufanya hivyo ukiangalia namna hali ilivyokuwa mbaya. Lakini kwa mambo yote yalikuwa yakiizunguka United – Louis Van Gaal anastahili sifa. Usajili wa gaharama na mkubwa zaidi ulikuwa wa Di Maria. Wachezaji wanaonunuliwa kwa fedha nyingi inabidi wafanya mambo kwa kulingana na thamani yao – United walihitaji hilo kwa haraka kutoka kwa winga huyo wa kiargentina, na wamelipata hilo jambo. Baadhi ya wachezaji walionunuliwa kwa fedha nyingi kwenye Premier League wamehangaika kufanya mambo aliyofanya Di Maria – Robinho na Juan Mata ni mifano. And then tuangalie dili za uhamisho zinazomfanya Di Maria aonekane ni bargain kwa ada ya uhamisho wa £60million. Andy Carroll, Mesut Ozil na Fernando Torres wote walinunuliwa kwa fedha zilizovunja rekodi kwenye premier league na vilabu vyao. Carroll – £35m ya majeruhi. Ozil – £42m ya uvivu na kushindwa kukubaliana na ukweli wa kukataliwa na Real Madrid. Torres – £50m ya mshambuliaji anayekosa magoli lango likiwa wazi.
Di Maria amekuwa na kiwango kizuri mno. Ni jambo la furaha kuangalia akicheza soka. Ikiwa uamuzi wa kumchagua mchezaji bora wa mwaka utafanywa kwa kuangalia mfungaji bora wa mmoja wa wachezaji wa timu bingwa, then Costa au Fabregas watachukua tuzo hiyo. Lakini Di Maria anaongoza ukarabati wa Manchester United mpya. Ameingia na kuikuta timu ikiwa haina muelekeo wa kueleweka. Lakini tumeanza kuona mabadiliko – tayari ameipeleka United kwenye top 4, hata kama ni kwa muda lakini unaona timu ina ueleko mzuri. Wakati wachezaji wa United waliporipotiwa kumkasirikia Van Gaal kwa kumpumzisha Di Maria walipocheza Leicester, then utaona ni wazi namna mchezaji huyo alivyokuwa na umuhimu mkubwa. Kwa ada ya £60m anategemewa kutimiza matarajio ya waajiri wake Manchester United kwa haraka. Hana ulinzi wa safu nzuri ya mabeki nyuma pia. Costa ameingia kwenye kikosi cha Chelsea akikikuta kimaimarika. Di Maria kaingia kwenye timu ambayo haipo sawa na anahitaji kuundwa upya.

CHEKI PICHA ZA MWANAMKE ALIYEVUA NGUO KWA STAGE BAADA YA MZUKA KUMPANDA!

Haikupita ‘taimu’ kwani mzazi huyo alipotelewa na uungwana pale alipojikuta akisimama na kuanza kuserebuka sambamba na mwanaye. Kadri mapigo ya Vijana wa Masauti yalivyozidi kuchanganya, ndivyo midadi ya ‘mtu mzima’ ilivyozidi kupanda na kuanza kukata kiuno isivyo kawaida hukuakichojoa kiwalo kimoja baada ya kingine....mzuka wangu ukinipanda......Mzuka ulipokolea barabara, mama alijikuta akivua miwani yake ‘tintedi’ kwani ilikuwa ikimnyima raha kwa kutoona vizuri kwenye giza. Baada ya miwani vilifuatia viatu, blauzi na kubakiza sidiria, huku chini akishusha ‘skini jinsi’ yake na kusababisha bikini na viungo nyeti kuwa nje nje mbele ya mwanaye aliyekuwa akiangalia pembeni kwa aibu kuu.
...hata nguo huwa navua...!Mizuka ya mama huyo ilishindwa kutulizwa mpaka wasamaria walipoamrisha Vijana wa Masauti kuzima muziki ndipo mzazi huyo akatulia na kwenda kukaahuku watu wakimponda kwa kitendo chake cha kumwaga radhi mbele ya mwanaye. Baadaye alitimkia kusikojulikana huku mtoto akielekeza njia tofauti na walipoingia kwani mama ndiye aliyekuwa ‘dairekta’.

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

IRENE AKANUSHA VIBAYA SANA KUHUSU TUHUMA ZA KUTOKA NA MSAMI .. ! PIA AZUNGUMZIA UJIO WA MOVIE MPYA ALIYOIGIZA NA MSAMI

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amesema anajiandaa kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’. Uwoya amesema alisafiri hadi Afrika Kusini ili kutafuta location tofauti zitakazoifanya filamu hiyo kuvutia. “Filamu ya Kigoda ni filamu ya aina yake katika filamu ambazo nimewahi kuzifanya,” ameiambia Bongo5. “Filamu inahusu drama and music, imeshagharimu pesa nyingi sana. Ndani utaona watu wakicheza muziki na maisha ya wasanii. Kwahiyo itakuwa tayari hivi karibuni na tutatangaza ikiwa tayar kwenda sokon.” Katika hatua nyingine, Uwoya amekanusha uvumi kuwa ana uhusiano na msanii wa Soundtrack, Msami ambaye anadai ameshiriki kwenye filamu hiyo. “Msami sijawai kuwa na mahusiano naye, alikuwa kama msanii mwenzangu. Hata ule ukaribu wake na mimi ambao ulizua tetesi za kuwa na mahusiano naye ni kutokana na hii filamu. Kwahiyo watu wajue ilikuwa ni kazi tu.” CRD BONGO5

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

SIMBA SC KUKIPIGA NA TIMU HII KUBWA YA SOUTH AFRICA KUJIANDAA DHIDI YA YANGA

Katika kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga tarehe 18 Oktoba 2014, Simba itacheza mechi ya kujiandaa kwa kuingia kwenye uwanja na club kubwa ya Afrika Kusini. Simba ambayo iliondoka nchini jana keshokutwa (Jumamosi) itacheza mchezo wa kirafiki na Orlando Pirates mjini Johannesburg, Afrika Kusini. Katika mchezo huo, Simba SC itawakosa wachezaji wake walio timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Uganda, The Cranes- ambao wanatarajiwa kujiunga na wenzao kuanzia Jumatatu. Hata hivyo, mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi aliyekwenda kujiunga na The Cranes yeye hatakwenda kabisa Afrika Kusini, kwa sababu timu yake hiyo ya taifa itakuwa na mechi ya kufuzu AFCON katikati ya wiki. Wachezaji wa Simba SC walioko Stars ni; Miraji Adam, Joram, Mgeveke,Jonas Mkude, Amri Kiemba, Said Ndemla na Haruna Chanongo ambao wote watakwenda Afrika Kusini Jumatatu. Simba SC imefikia katika hoteli ya Eden Vale Petra na itakuwa inafanya mazoezi kwenye viwanja wa Eden Vale mjini Johannesburg.

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

HUSSEIN MACHOZI NAE KAACHIA NYIMBO INAITWA ""MDOGOMDOGO"" MTANDAO WA KENYA WAMPAMBANISHA NA DIAMOND

Mtandao wa GHAFLA wa Kenya umewaweka ulingoni nyota wa Tanzania Diamond Platnumz na Hussein Machozi kwa kupambanisha wimbo wa ‘Mdogo Mdogo’ wa Platnumz, na wimbo ‘mpya’ wa Machozi ambao bado haujatoka wenye jina hilo hilo ‘Mdogo Mdogo’. “Is This Beef in the Making??” Ndivyo umeuliza mtandao huo kwenye kichwa cha habari hiyo. “Hussein Machozi has chucked another tune dubbed Mdogo mdogo which surprisingly shares the same name with Diamond’s Mdogo mdogo barely 3 months after the latter dropped his. The BIG QUESTION could this be a drive to prove Diamond wrong? If you listen to this tune by Hussein Machozi its crystal clear that it is a big tune but do i say? “ Hivi ndivyo ilivyoandikwa na mtandao huo. GHAFLA wameongeza kuwa kuna tetesi kuwa Hussein Machozi na Diamond hawapikiki chungu kimoja. Iskilize ‘Mdogo Mdogo’ ya Hussein Machozi Diamond – Mdogo Mdogo

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

KAJALA YAMKUTA BAADA YA KUWEKA PICHA YA SIMU AMBAYO AIJATOKA SOKONI AKIDAI ANAYO

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo

Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.

Baadhi ya maoni hayo ni:-

"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina launched we umeitoa wap wakat bado haijaanzwa kuuzwa!dah!kwel sasa naanza kumin maisha yako ni ya kuigiza nakufata mkumbo mumy...pole"

"Duh ... Simu aijatoka hiyo Pre Order imeanza USA & UK tarehe 19/09 lkn retail stores wanaanza kuuza tarehe 17/10 , hiyo pre order kwa watu ambao awataki kumiss ikitoka wanalipia kabisa ikitoka unaenda kuchukua , sasa hiyo umenunua wapi mwenzetu..."

"KAJALA ACHA UONGO HII CM LABDA MCHINA ORIGINAL HAIJATOKA MPKA KWA ORDER LOO MWANAMKE MZIMA MPKA LEO UNARINGISHIA CM PAULA NAE AFANYE NINI"

Wewe unaonaje kuhusu jambo hili la mastaa nchini kuishi maisha ya kuigiza kwa ajili ya kuonekana wapo juu kwa mashabiki wao?

ROY KEANE AMTANDIKA FERGUSON, ASEMA AMEPATA MAMILIONI, JUKWAA, SANAMU LAKINI…

Vita ya maneno kati ya Roy Keane na Alex Ferguson sasa inazidi kuchanja mbuga.
Keane aliyekuwa nahodha wa Manchester United iliyopata mafanikio makubwa chini ya Ferguson, amesema kocha huyo ni muongo. Keane amesema hayo wakati akizizundua kitabu chake kipya cha Second Half. Hajapoteza maneno au kupepesa baada ya kusema aliamua kitabu hicho baada ya kusoma maneno mengi ya uongo ya Ferguson kwenye kitabu chake kilichochapishwa mwaka jana.
“Ajabu kabisa, Ferguson amepata mamilioni, amepata jukwaa na sanamu kwenye Uwanja wa Old Trafford, hayo yote ni mafanikio. “Sasa ni ajabu sana kama anafikia hatua ya kuwasema maneno mabaya watu waliomsaidia kupata hayo mafanikio. “Kwangu nimeona si mambo sahihi, hapaswi kufanya hivyo na hakuwa sahihi. “Hakika sikuwa nina mpango wa kutoa kitabu, lakini baada kitabu chake niliona lazima nifanye hivyo,” alisema Keane ambaye ni kocha msaidizi wa Aston Villa. Katika kitabu hicho cha Feguson (AMBACHO HUTAFSIRIWA KWA KISWAHILI NA GAZETI LA MICHEZO LA CHAMPIONI), ameeleza namna Keane alivyokuwa mkorofi na asiyewakubali wachezaji vijana.
Ameeleza kuwa Keane hakupenda wengine wafanikiwe na alijisahau baada ya yeye kumpa uhuru. Pia alieleza na kukiponda kitendo chake cha kuwasakama wachezaji wa Man United kwenye mahojiano yake na runinga ya klabu hiyo ya MUTV. Lakini Keane amesema yote hayo ni uzushi mtupu na ameyajibu kwenye kitabu chake hicho cha Second Half.

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

BREAKING NEWS: SIMBA SC YAFUKUZA TENA KOCHA, MZUNGU AANZA KAZI AFRIKA KUSINI

Na Princess Asia, JOHANNESBURG KOCHA Mzungu anawanoa makipa wa Simba SC katika kambi yao, Afrika Kusini wakati kocha wa makipa wa Oman, Choke Abeid anatarajiwa kutua wakati wowote kuanza rasmi kazi ya ‘kuwafua’ makipa wa timu hiyo, baada ya kutupiwa virago kwa Iddi Pazi ‘Father’. Pazi aliachwa Dar es Salaam wakati Simba SC inaondoka jana na ingawa hajaambiwa chochote, lakini ndiyo ametimuliwa- baada ya uongozi kuamini viwango vya makipa wao vimeshuka chini yake. Simba SC imeanza mazoezi leo kwenye viwanja vya Hoteli ya Eden Vale Petra mjini Johannesburg walipofikia na keshokutwa watacheza mchezo wa kirafiki na wenyeji Orlando Pirates mjini Johannesburg. Simba ipo Afrika Kusini tangu jana kwa ajili ya maandalizi yake ya mechi dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC, Oktoba 18, mwaka huu Dar e Salaam. Suleiman Matola aliyekuwa kocha Msaidizi tangu wakati wa Mcroatia, Zdravko Logarusic anaendelea kuwa Msaidizi wa Mzambia, Patrick Phiri wakati Meneja anaendelea Nico Nyagawa. Katika mchezo na Pirates, Simba SC itawakosa wachezaji wake walio timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Uganda, The Cranes- ambao wanatarajiwa kujiunga na wenao kuanzia Jumatatu. Hata hivyo, mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi aliyekwenda kujiunga na The Cranes yeye hatakwenda kabisa Afrika Kusini, kwa sababu timu yake hiyo ya taifa itakuwa na mechi ya kufuzu AFCON katikati ya wiki. Wachezaji wa Simba SC walioko Stars ni; mabeki Miraji Adam na Joram Mgeveke na viungo Jonas Mkude, Amri Kiemba, Said Ndemla na Haruna Chanongo ambao wote watakwenda Afrika Kusini Jumatatu. Simba SC itakuwa ikifanya mazoezi ya nguvu hadi Oktoba 17 itakaporejea Dar es Salaam, ikiwa ni siku moja kabla ya mechi na watani. Baada ya sare tatu mfululizo katika mechi zake tatu za awali, 2-2 na Coastal Union, 1-1 mara mbili na Polisi Moro na Stand United, Simba SC imepania kushinda mechi ya kwanza Oktoba 18.
Mzungu akiwanoa makipa wa Simba leo
Simba SC wakijifua Afrika Kusini leo

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

Thursday, October 09, 2014

ULIONA PICHA HII YA POLISI WA TANZANIA ILIYOSAMBAA MITANDAONI? HATIMAYE MAAMUZI YAMETANGAZWA

Kama kila siku huwa unaingia facebook, whatsapp au instagram inawezekana ukawa ulikutana na hii picha ya Askari Polisi ambao walipigwa picha wakiwa wanakiss wakiwa ndani ya sare za jeshi hilo. Sasa taarifa mpya iliyotoka baada ya hii picha kuzidi kusambaa ni kwamba Jeshi la Polisi Kagera limechukua maamuzi ya kuwafukuza kazi askari hawa wawili pamoja na mwingine mmoja ambae ndio aliipiga hii picha kupitia simu yake ya mkononi. Kamanda wa Jeshi la Polisi Henry Mwaibambe amewataja askari hao kuwa ni PC Asuma Mpaji Mwasumbi mwenye namba F.7788,PC Fadhili Linga mwenye namba G 2122 na PC Veronica Nazaremo Mdeme na wote walikuwa askari wa kikosi cha usalama barabarani wilayani Missenyi.
Kamanda Mwaibambe amezungumza na ITV na kusema askari hao walitenda kosa hilo la fedhea kwa kupiga picha kinyume na maadili ya jeshi hilo mwaka 2012 wakiwa kazini na kwamba PC Fadhili ndiye aliyehusika na kupiga picha hizo kwa kutumia simu yake ya mkononi na kuituma katika mitandao mbalimbali ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume cha maadili kwa sababu mbalimbali. Mwaibambe amekiri kuwa picha husika inayoonekana kwenye mitandao ni picha halisi ambayo haijachakachuliwa hivyo ni wazi kila askari kujua maadili ya kijeshi yapo kisheria na askari yeyote anafundishwa namna ya kuishi katika maisha ya utumishi wa jeshi la Polisi.

JOHARI NA CHUCHU HANS USURA WAZICHAPE TENA KISA PENZI LA RAY, ILIKUA HIVII…

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema wa Global Publishers Mastaa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambao wamekuwa katika bifu kwa muda mrefu kutokana na uhusiano wa kimapenzi na Vincent Kigosi ‘Ray’, hivi karibuni nusu wazichape kwa mara nyingine baada ya kurushiana matusi mazito ya nguoni
Tukio hilo lilijiri juzikati katika hoteli moja iliyopo Sinza jijini Dar. Chanzo cha uhakika kilichokuwa eneo la tukio kinavujisha kwamba, Ray alifika katika hoteli hiyo akiwa katika teksi na aliandamana na Chuchu. Inadaiwa Ray alifika hotelini hapo kwa ajili ya kuonana na mkurugenzi mwenza wa kampuni yao ya RJ, Johari, ambaye kwa wakati huo alikuwa akisimamia kambi ya projekti yao mpya. Baada ya Ray kushuka kwenye teksi na kuingia ndani ya hoteli hiyo huku Chuchu naye akishuka kwenye na kusimama nje akimwangalia mwandani wake anavyomsogelea Johari ambaye siku za nyuma alikuwa ndiye mwandani wake. Kitendo cha Chuchu kutokeza kuonesha alikuwa ameandamana na mkali huyo wa filamu kilimchukiza Johari ambaye kwa sauti iliyosikika vyema, alimuuliza Ray kwa nini alikwenda akiwa ameongozana na ‘malaya’ wake.
“Matusi yale yalimkera sana Chuchu, naye aliamua kumrudishia hali iliyosababisha kutokea kwa tafrani kubwa kwani watu walianza kujazana na kuwazuia wasichapane,” kilisema chanzo chetu. Baada ya habari hii kutua mezani, mapaparazi wetu waliingia kazini ili kuujua ukweli, mtu wa kwanza kuzungumza naye ni Johari ambaye siku za nyuma aliwahi kuzichapa na mpinzani wake huyo wakati akilitetea penzi lake lililokuwa likiyumba. Johari alikiri kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa mwigizaji huyo alikwenda kambini kwake kufanya fujo ambazo hata hivyo alishindwa kufafanua. Kwa upande wake, Chuchu alipoulizwa alisema: “Nimemvumilia sana Johari, amekuwa akinitukana kila kukicha nanyamaza, sasa nimechoka na kibaya zaidi siku hiyo alinitukania mama yangu, nimekuwa nikimvumilia kwa sababu alikuwa akinitukana mimi, sasa kumuingiza mama kwenye ugomvi wetu siwezi kumvumilia kamwe,” alisema Chuchu.

PERUZI KURASA ZA MBELE NA NYUMA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO ALHAMISI HAPA

Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video) Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani?


Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘

Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.

Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video) Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani?

Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Posted by: Millard Ayo October 8, 2014 AyoTV, Ent.
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘

Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.

MAMBO YA KISHAMBA AMBAYO MWANAUME WA SASA HUTAKIWA KUYAFANYA

1. Kufuata mkumbo, kutokuwa na maamuzi yako mwenyewe.

2. Kuongea lugha chafu, huwezi kumaliza sentensi bila matusi.

3. Kuvaa mlegezo.

4. Kunyoa panki, kiduku au kuacha afro.

5. Kuvaa viatu vya four angles au vyenye soli kubwa.

6. Kukimbia mimba au kutelekeza familia.

7. Kunywa pombe bila kipimo, kushinda bar bila sababu maalumu utadhani wewe kreti.

8. Kuvaa suruali za model au bwanga au kuvaa mayeno.

9. Kumpiga mwanamke awe mkeo, mpenzi wako au hata rafiki tu.

10. Kuwa na hulka ya kupigana, yani huwezi ku-solve tatizo kwa njia nyingine zaidi ya kuwaza kupigana.

11. Kuwa wa kwanza kulala na wa mwisho kuamka.

12. Kuvaa tshirts zenye maneno makubwa na mbaya zaidi yasiyo na maana.

13. Kulakula hovyo, hyo tabia tuwaachie wanawake

14. Kuvaa vitu oversize ili udumu nayo muda mrefu.

15. Kuvaa mikanda oversize, unakuta mkanda mkubwa had uajikunja ukiwa kwenye luks au una buckle kubwa.

16. Kuvaa tshirts zilizokatwa mikono.

17. Kuvaa boshori.

18. Kukaa vijiweni bila kuwa na shughuli ya maana kufanya.

19. Kuwaza starehe muda wote, weekend ikifika utasikia 'mwana bata wapi?'

20. Kuhonga vimada huku wanao hawana viatu au uniform za shule zimechakaa kupitiliza!! Na mbaya zaidi unawalaza hadi njaa we unakula raha na vimada tu by Ligogoma

21. Kuendekeza michepuko ilhali umeoa tena mke mrembo kweli kweli by Ligogoma

22. Kutojiwekea malengo ya kiuchumi, unaishi tu kama ndege.

23. Kuacha mindevu hovyohovyo bila KUNYOA

KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA 

MWANAMKE MCHARUKO ATIMULIWA UKUMBINI...KISA KUSHOBOKEA WAUME ZA WATU!

Haijakaa poa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwimbaji ambaye ni Prezidaa wa Bendi ya Mikumi Sound, Joshua Malekela amelazimika kumtimua mwanamke mmoja ukumbini, kisa kikielezwa ni mcharuko. Tukio hilo la aina yake lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Black Poiny uliopo maeneo ya Iringa Road, Msamvu mjini hapa ambapo bendi hiyo ilikuwa ikishusha burudani. Mlinzi akimuondoa mcharuko(jina halikufahamika) kutoka ukumbini.Kabla ya kutimuliwa, mwanamke huyo ambaye jina halikupatikana, alikuwa akicheza ovyo na kuparamia waume za watu.Pia kabla ya kutolewa, mwanamke huyo alionekana akikwidwa na shabiki wa bendi hiyo akimshutumu kujipendekeza kwa mumewe kwa kumlazimisha akacheze naye sebene huku akimwaga ‘lazi’ hadharani.

MASKINI KIJANA HUYU, ANUSURIKA KUUAWA KWA KUCHOMWA MOTO AKIDHANIWA NI MWIZI!

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Richard Osward (40) mkazi wa Tabata Segerea, hivi karibuni alinusurika kuuawa kwa kuchomwa moto na wananchi baada ya kuhisiwa kuwa mwizi alipokutwa alfajiri akiwa na mfuko ambao ndani yake kulikuwa na bomba, huko Segerea. Richard Osward aliyechomwa moto na watu wenye hasira kali akidhaniwa kuwa ni mwizi. Akizungumza kwa shida akiwa katika wodi namba 23 iliyomo ndani ya Jengo la Sewa Haji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Richard alisema tukio hilo lilimkuta akiwa ameongozana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Moses na kwamba walikuwa wakielekea Gerezani, Kariakoo ambako wanajishughulisha na ufundi wa magari.

DIAMOND AMTAJA MWIMBAJI KUTOKA TANZANIA ANAYEMKUBALI

Diamond Platnumz amemtaja Vanessa Mdee kama muimbaji anayemkubali zaidi na ambaye anaona atafika mbali zaidi.Akiongea , Diamond amesema hata jukwaani, Vanessa ni msanii anayejituma sana. “Unajua wasanii wa kike wote wa hapa nyumbani ninawakubali ila namkubali sana Vanessa.

POMBE NOMA SANA AISEE: TAZAMA ILIVYOMFANYA HUYU MDADA INAYESEMEKANA NI MKE WA MTU!

Huyu amenaswa na camera akiwa hoi bin taabani hajitambui kabisa maskini! Just imagine ni mkeo inakuaje na fikiria upande wa pili wa vijana wa mjini wakimkuta ni nini kitajiri! Kunywa kistaarabu!