 |
| Haikupita ‘taimu’ kwani mzazi huyo alipotelewa
na uungwana pale alipojikuta akisimama na
kuanza kuserebuka sambamba na mwanaye.
Kadri mapigo ya Vijana wa Masauti yalivyozidi
kuchanganya, ndivyo midadi ya ‘mtu mzima’
ilivyozidi kupanda na kuanza kukata kiuno isivyo
kawaida hukuakichojoa kiwalo kimoja baada ya
kingine....mzuka wangu ukinipanda......Mzuka
ulipokolea barabara, mama alijikuta akivua
miwani yake ‘tintedi’ kwani ilikuwa ikimnyima
raha kwa kutoona vizuri kwenye giza.
Baada ya miwani vilifuatia viatu, blauzi na
kubakiza sidiria, huku chini akishusha ‘skini jinsi’
yake na kusababisha bikini na viungo nyeti kuwa
nje nje mbele ya mwanaye aliyekuwa akiangalia
pembeni kwa aibu kuu. |
 |
| ...hata nguo huwa navua...!Mizuka ya mama
huyo ilishindwa kutulizwa mpaka wasamaria
walipoamrisha Vijana wa Masauti kuzima muziki
ndipo mzazi huyo akatulia na kwenda kukaahuku
watu wakimponda kwa kitendo chake cha
kumwaga radhi mbele ya mwanaye. Baadaye
alitimkia kusikojulikana huku mtoto akielekeza
njia tofauti na walipoingia kwani mama ndiye
aliyekuwa ‘dairekta’. |
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
0 comments:
Post a Comment