Thursday, October 09, 2014

DIAMOND AMTAJA MWIMBAJI KUTOKA TANZANIA ANAYEMKUBALI

Diamond Platnumz amemtaja Vanessa Mdee kama muimbaji anayemkubali zaidi na ambaye anaona atafika mbali zaidi.Akiongea , Diamond amesema hata jukwaani, Vanessa ni msanii anayejituma sana. “Unajua wasanii wa kike wote wa hapa nyumbani ninawakubali ila namkubali sana Vanessa.

0 comments:

Post a Comment