KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
MDADISIBLOG
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo
Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.
Baadhi ya maoni hayo ni:-
"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina launched we umeitoa wap wakat bado haijaanzwa kuuzwa!dah!kwel sasa naanza kumin maisha yako ni ya kuigiza nakufata mkumbo mumy...pole"
"Duh ... Simu aijatoka hiyo Pre Order imeanza USA & UK tarehe 19/09 lkn retail stores wanaanza kuuza tarehe 17/10 , hiyo pre order kwa watu ambao awataki kumiss ikitoka wanalipia kabisa ikitoka unaenda kuchukua , sasa hiyo umenunua wapi mwenzetu..."
"KAJALA ACHA UONGO HII CM LABDA MCHINA ORIGINAL HAIJATOKA MPKA KWA ORDER LOO MWANAMKE MZIMA MPKA LEO UNARINGISHIA CM PAULA NAE AFANYE NINI"
Wewe unaonaje kuhusu jambo hili la mastaa nchini kuishi maisha ya kuigiza kwa ajili ya kuonekana wapo juu kwa mashabiki wao?
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘
Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.
Home » AyoTV » Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Jibu alilolitoa Jay Z akitembea baada ya kumsikia mtu wa pembeni akiuliza Jay Z ni nani? (video)
Posted by: Millard Ayo October 8, 2014 AyoTV, Ent.
Rapper Jay Z na mke wake wapo Paris Ufaransa wiki hii ambapo wakati Jay akiwa kwenye matembezi huku akiwa amembeba mtoto wake ilitokea mmoja wa Watalii baada ya kumuona Jay akauliza ‘huyu ni nani? unajua jibu alilotoa mume huyu wa Beyonce?
Kabla ya Jay Z kujibu, mlinzi wake aliekua ametangulia mbele hatua chache huku Jay akifata kwa nyuma na timu yake alikua akizuia watu kupiga video ambapo huyu mtalii alikua akipiga video, akawa anashangaa imekuaje akatazwe kupiga video… swali lililoambatana na kuuliza huyu anaepita nani? Jay Z kwa kiburi na yeye akamjibu kwa kuuliza ‘wewe ni nani?‘
Japo inaonekana Jay Z alijibu kwa dharau, wataalamu wa mambo wanasema huenda kweli mtalii huyu hakuwa anajua anaepita ni nani manake alikua kwenye eneo la kitalii ambalo wengi wanaokuwepo hapo huchukua kumbukumbu kupitia camera zao.
1. Kufuata mkumbo, kutokuwa na maamuzi yako mwenyewe.
2. Kuongea lugha chafu, huwezi kumaliza sentensi bila matusi.
3. Kuvaa mlegezo.
4. Kunyoa panki, kiduku au kuacha afro.
5. Kuvaa viatu vya four angles au vyenye soli kubwa.
6. Kukimbia mimba au kutelekeza familia.
7. Kunywa pombe bila kipimo, kushinda bar bila sababu maalumu utadhani wewe kreti.
8. Kuvaa suruali za model au bwanga au kuvaa mayeno.
9. Kumpiga mwanamke awe mkeo, mpenzi wako au hata rafiki tu.
10. Kuwa na hulka ya kupigana, yani huwezi ku-solve tatizo kwa njia nyingine zaidi ya kuwaza kupigana.
11. Kuwa wa kwanza kulala na wa mwisho kuamka.
12. Kuvaa tshirts zenye maneno makubwa na mbaya zaidi yasiyo na maana.
13. Kulakula hovyo, hyo tabia tuwaachie wanawake
14. Kuvaa vitu oversize ili udumu nayo muda mrefu.
15. Kuvaa mikanda oversize, unakuta mkanda mkubwa had uajikunja ukiwa kwenye luks au una buckle kubwa.
16. Kuvaa tshirts zilizokatwa mikono.
17. Kuvaa boshori.
18. Kukaa vijiweni bila kuwa na shughuli ya maana kufanya.
19. Kuwaza starehe muda wote, weekend ikifika utasikia 'mwana bata wapi?'
20. Kuhonga vimada huku wanao hawana viatu au uniform za shule zimechakaa kupitiliza!! Na mbaya zaidi unawalaza hadi njaa we unakula raha na vimada tu by Ligogoma
21. Kuendekeza michepuko ilhali umeoa tena mke mrembo kweli kweli by Ligogoma
22. Kutojiwekea malengo ya kiuchumi, unaishi tu kama ndege.
23. Kuacha mindevu hovyohovyo bila KUNYOA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
| “Umasikini huu jamani, kama unavyoiona, nyumba yote imeteketea, kweli inatia uchungu sana,” alisema Jasmini ambaye alishinda kwa kishindo kwenye uchaguzi wa Simba. |
CRD SALEHALLY.COM
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI ILI KILA TUKIPATA HABARI ZIKUFIKIE KIRAHISI KWENYE FACEBOOK YAKO BOFYA HAPA
Haya Msomaji wa mdadisiblog sikiliza nikuambie ni nini hasa mambo ya kufanya kila asubuhi ili uweze kupata mafanikio zaidi kimaisha. Binafsi hivi karibuni nimesoma makala katika moja ya magazeti nnayoyapenda na yalionyesha orodha za watu waliofanikiwa na wanachokifanya mara kwa mara. Kisha, nikaanza kutafiti zaidi kidogo na kupata mambo kadhaa muhimu ambayo yaliendana kwa watu hao. Hapa kwa haraka nitakushirikisha vitu 8 vya kufanya kila asubuhi:-
1. Amka Mapema
Jambo la kwanza la kufanya ukitaka kufanikiwa ni kuhakikisha unaamka mapema sana asubuhi. Watu waliofanikiwa huamka kuanzia saa 10:30 hadi 11:30 asubuhi. Hapa nawalenga wale wanaoamka saa mbili asubuhi hadi saa tatu.Ukiamka mapema utaweza kupata kifungua kinywa mapema saa 01:30 asubuhi na kuwa na siku ndefu. Watu wengi wenye mafanikio huamka mapema.
2. Fanya Mazoezi
Mbali na kuamka mapema kufanya mazoezi ni jambo la muhimu pia na sio tu kufanya mazoezi bali kufanya mazoezi mapema asubuhi. Watu waliofanikiwa hufanya mazoezi asubuhi si kwa kupunguza miili yao tu bali kujipa afya ya akili katika kupambana na mambo aliyopanga kufanya katika siku hiyo.
3. Pata Kifungua kinywa (Breakfast)
Wote tunajua breakfast ni kitu muhimu ila je, Unajua kama watu waliofanikiwa huhakikisha wanapata breakfast kama jambo la msingi sana? Siongelei chai na maandazi nnaongelea chai nzito yenye vitu kama matunda au juice pamoja na maziwa/mayai ili kupata protini. Hii ni zawadi kubwa unayoweza kuupatia ubongo wako ili kuweza kuurahisishia kazi.
Hakikisha unapata breakfast masaa machache baada ya kuamka na kama jana yake usiku ulichelewa kula basi haishauriwi upate breakfast mapema.
4. Jipatie muda wa kuwa katika ukimywa
Sababu kubwa ya kuamka mapema ni kujipatia wasaa wa kuwa katika hali ya ukimywa. Unapoamka na kufanya mazoezi ni kujipa muda tosha na kuupa ubongo wako fursa ya kuwaza kuhusu mambo yako tu wala si kelele za watoto ndani ya nyumba au watu wengine.
Fikiria kuhusu majukumu yako ya siku hiyo na vitu unavyohitaji kufanya na kama itakusaidia unaweza kuandika chini. Kila siku zinapoenda utajikuta unazoea wasaa huu wa kuwa kimya hata kujiongezea muda wa jambo hili.
5. Jipange
Kitu kingine ambacho kinafanana kwa watu waliofanikiwa ni pale wanapojipanga jinsi watavyoitumia siku yao. Kila asubuhi panga jinsi ya kutumia siku yako anza na kupanga vifaa vyako vya kazi, panga muda utaotumia kufanya kila jambo ikiwemo kula chakula cha mchana. Tandika kitanda chako na acha nyumba yako katika hali ya usafi. Kila mara unapoacha kufanya baadhi ya mambo haya taarifa za kukuletea mawazo (stress) hutumwa katika ubongo wako.
Ukijipanga utafurahia siku yako na kufanya mambo mengi zaidi kwa umakini unaohitajika.
6. Achana na mambo ya siku iliyopita.
Kitu muhimu kila asubuhi ni kutoamka ukijilaumu kwa maamuzi na vitu ulivyovikosa jana. Kama uligombana na mtu jana, au mwajiri wako alisema kitu cha kukuudhi, au haukupata ile nyongeza ya mshahara uliyotarajia. Acha mambo ya aina hii. Kama ulimkosea mtu, hakikisha unamuomba msamaha. Achana na yaliyopita na weka akili yako kwa mambo ya leo.
Kila mtu aliyefanikiwa anaianza siku yake kwa kuwa na tabia mpya, mipango mipya na nguvu mpya na sio kujilaumu. Tabia hii itakupa uwezo wa kufanikiwa kwa siku husika.
7. Kuwa na Imani
Anza siku kwa kujitamkia maneno ya kujikumbusha kuwa una uwezo wa kuimaliza siku hii kwa kuchukua fursa zote zitakazo jitokeza, kufanya maamuzi sahihi na kuwa mvumilivu. Fanya Sara kulingana na Imani yako kwa Mungu.
8. Soma
Ikiwa ni habari kwenye gazeti, soma barua pepe, au soma kurasa chache za kitabu unachokipenda. Kusoma asubuhi ni kuzuri kwa mazoezi ya akili yako.