Sunday, August 31, 2014
TETESI ZA SOKA ZILIZOSHAMILI KWENYE MAGAZETI MBALIMBALI YA ULAYA LEO JUMAPILI
Baada ya kuondoka kwa Torres – huyu ndio mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Chelsea
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
Saturday, August 30, 2014
EPL: Matokeo ya Chelsea vs Everton yapo hapa
Baada ya kuondoka kwa Torres – huyu ndio mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Chelsea
Usiku wa jana mshambuliaji wa kimataifa wa Spain Fernando Torres alikamilisha usajili wake wa mkopo wa miaka miwili kutoka Chelsea kwenda AC Milan. Huku yakiwa hajapita hata masaa 24 tangu Torres aondoke, Jose Mourinho amekamilisha usajili wa mbadala wa Torres, mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Loic Remy. Remy ambaye alifeli vipimo vya afya alipokuwa akikaribia kujiunga na Liverpool mwanzoni mwa dirisha la usajili, amejiunga na Chelsea kwa ada ya uhamisho wa paundi millioni 10 kutoka QPR. Remy anachukua nafasi ya Torres na kuungana na Didier Drogba katika kumsaidia Diego Costa. Wakati huo huo Alex Song amejiunga na West Ham kwa mkopo kutoka FC Barcelona.
Posted via Blogaway
MATOKEO YA MECHI YA MAN CITY vs STOKE CITY HAYA HAPA
Posted via Blogaway
FERGUSON LEO AMEUDHIKA MNO MAN UNITED MECHI YA TATU HAKUNA USHINDI
Posted via Blogaway
BARUA YA FIFA ILIYOMPELEKA OKWI YANGA HII HAPA, JE INAWEZA KUMPELEKA SIMBA PIA?
BAADA YA MAN U KUMSAJIRI DI MARIA HUU NDIO USAJILI UNAOFUATA
Kilabu ya Manchester United ya Uingereza imekubaliana na kilabu ya Uholanzi Ajax Amsterdam kutoa kitita cha pauni millioni 13.8 kumnunua mlinzi wa timu hiyo Daley Blind.
Blind ambaye ana umri wa miaka 24 alikuwa katika kikosi cha Kombe la dunia cha Uholanzi chini ya mkufunzi Louis Van Gaal. Anaweza kucheza kama beki wa kushoto pamoja na ngome ya kati ya ulinzi.
Iwapo makubaliano hayo yatatiwa sahihi, huyo atakuwa mchezaji wa tano kusajiliwa na kilabu hiyo.
Kilabu ya Manchester tayari imetumia zaidi ya pauni millioni 130 katika msimu huu pamoja na kuvunja rekodi ya Uingereza kwa kusajili Angel Di Maria kwa kitita cha pauni 59.7 kutoa Real Madrid.
Old Trafford pia imemnunua beki wa kushoto Luke Shaw,mchezaji wa kungo cha kati Ander Herrera na Marcos Rojo.
Posted via Blogaway
MSOME VIZURI MANJI ALIVYOLONGA KUHUSU SUALA LA OKWI
Posted via Blogaway
LOVELY PHOTO:KAJALA AKIWA NA MTOTO WALE PAULA....SO BWITIFU!!!
Hii ndiyo siku Vanessa alipofunguka, kuhusu mahusiano yake yakimapenzi.
Vibe
Posted via Blogaway
wakati mkisubiria ya Diamond na Wema, huko Hollywood kimeshanuka.
Posted via Blogaway
Jikumbishe amri 10 za soka enzi zetu za utoto. Lazima ucheke!!!
Pamoja na sheria 17 za soka za FIFA kuwepo, enzi za utoto kulikuweko na sheria za soka ambazo ndizo zilizokuwa zinatambuliwa:-
1.Mwenye mpira ndiye anayeamua nani atacheza
2.Mtoto bonge ndiye golikipa
3.Wachezaji mahiri ndio wanaochaguliwa kwanza
4.Kukiwa na penati ruksa kubadilisha kipa
5.Ukipiga mpira kwa nguvu au kwa mandochi mwenye mpira ana ruhusa ya kukuonya au kukukataza usicheze
6.Usipochagia hela ya kujaza upepo utapigwa marufuku kucheza
7.Hakuna marefa wala malinzmeni, na mpira unachezwa mpaka kuzunguka goli
8.Kumkaba mwenye mpira faulo
9.Ukitoboa mpira unalipa
10.Mwenye mpira akikasirika au akiumia au akiitwa na mama yake ndio mwisho wa mechi
Posted via Blogaway
Hussein Machozi aelezea ukweli wa habari ya kufumaniwa na mke wa mwanasiasa Kenya
Asante kwa kutembelea blog hii na kalibu tena ila usisahau kubofya hapa ili ujiunge nasi
Posted via Blogaway
Baada ya Okwi kutangaza kujiunga na Simba,hiki ndicho walichokifanya Yanga.
Posted via Blogaway
HIVI NI UMAARUFU, PESA AU MAPENZI YA KWELI YANAYOWAFANYA WADADA HAWA KUMPENDA DIAMOND??? TUJUZE
Credit vibe
Posted via Blogaway


















