Saturday, August 30, 2014
|
Maudhi matupu: Kocha wa zamani wa
Manchester United, Sir Alex Ferguson (mbeke)
akiwa na David Gill na Sir Bobby Charlton
wakitazama mchezo wa timu hiyo leo
ikilazimishwa sare ya 0-0 na Burnley. United
imekuwa ikisuasua tangu kustaafu kwa
Ferguson mwaka jana. Makocha wawili
wamekwishapewa timu, David Moyes
aliyetimuliwa mwishoni mwa msimu uliopita
na Ryan Giggs akakaimu kumalizia msimu,
kabla ya msimu huu kuajiriwa Louis Van Gaal
ambaye leo amefikisha mechi ya tatu bila
ushindi, sare mbili ugenini, nyingine 1-1 na
Sunderland na kufungwa moja nyumbani na
Swansea City 2-1. |
Posted via Blogaway
0 comments:
Post a Comment