Friday, October 17, 2014
MPIGA DEBE HUYU AUSHANGAZA UMMA MKOANI MBEYA KWA KITENDO HIKI ALICHOFANYA
HIKI NDO KILICHOMPATA KOCHA WA NIGERIA STEPHEN KESHI PAMOJA NA WASAIDIZI WAKE
ANGALIA PICHA ZAID YA SABA ZA MSANII DAVIDO ALIVOWASILI DAR ES ES SALAAM USIKU HUU
Thursday, October 16, 2014
Diamond asema yupo tayari kufanya collabo na Alikiba
Umeona daraja la Kigamboni lilipofikia? picha zake 12 mpya ziko hapa
| Daraja jipya la kutuvusha kati ya Kigamboni na upande wa pili wa Dar es salaam linaendelea kujengwa juu ya bahari katika Bahari ya Hindi eneo la Kurasini Dar es Salaam |
YULE MWANAFUNZI WA CHUO ALIYEJICHOMA KISU,KISA MAPENZI HAKUFA,MUONE HAPA
Mwanadada Moza Kassim mwanafunzi wa chuo cha Uhasibu Tawi la Singida,
Inadaiwa kuwa usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi iliyopita mkoani Singida,
Alijibizana na mpenzi wake ambaye eti aligundua kuwa ana mpenzi mwingine na katika vuta ni kuvute hawakufikia muafaka ndipo mwanadada akamwambia mpenzi wake kuwa anajichoma kisu mwanaume akajua ni utani akamjibu huwezi,
Mwanadada akamwambia kwa mara ya pili kisha Moza akajipiga kisu tumboni karibu na kiuno hali yake ikawa mbaya na kuanza kuchuruzika damu.
Ikabidi rafiki zao waliokuwa karibu wakamkimbiza hospitali ya mkoa na jana alihamishwa hospitalini hapo na mwanadada huyo yupo chini ya ulinzi wa jeshi la polisi, na kwa mujibu wa sheria Moza ana kesi ya kujibu.
MAKAHABA WATOA VIWANGO VIPYA VYA HUDUMA....WANAPATA WAPI UJASIRI HUU HAWA?!!SHUKA NAYO HAPA...
Orijino Komedi wanunua nyumba 7 za NSSF, zina thamani ya shilingi milioni 840
New Music: Yemi Alade f/ Diamond Platnumz – Kissing (remix) download hapa
Yemi Alade na Diamond hawakuishia kufanya wimbo kwenye kipindi cha Coke Studio Africa peke yake. Diamond ameshirikishwa kwenye album ya msanii huyo wa Nigeria, ‘King Of Queens’. Isikilize remix ya wimbo wake Kissing
aliomshirikisha Diamond Platnumz.
Wednesday, October 15, 2014
Mama Kanumba na Lulu katika filamu mpya "Mapenzi ya Mungu"
MWANAJESHI AMLAZIMISHA RAIA KUOGELEA KWENYE MAJI YALIYOTWAMA BARABARANI KARIAKOO JIJINI DAR: ANGALIAPICHA HAPA===>
MAPENZI NI SUMU, KWANINI TUFIKE HUKU?! JIONEE MWENYEWE HAPA!
TOP 5 YA WABUNGE WAREMBO WENYE MVUTO BUNGE LA TANZANIA..
Kwa kipindi hiki hii ndiyo top 5 ya
Wabunge Warembo kabisa katika bunge letu tukufu.
MZEE WA MIAKA 54 AKAMATWA KWA KUMUOA MSICHANA WA MIAKA NANE TANZANIA
Jeshi la polisi wilaya ya bunda kupitia dawati la jinsia kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa
jamii mkoa wa Mara imemfikisha mahakamani mzee mmoja mwenye umri wa miaka 54 Bw Changwe Changige kwa kosa la kumuoa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane
HII NDO PICHA YA WEMA SEPETU ILIYOTIKISA MTANDAONI HAPO JANA
Nimeshapiga picha nyingi sana...lakini kwa upande wangu hii ni zaidi ya zote...kwamaana kwamba ameonekana ni MSUPA zaidi....yeah!! yaani amependeza kimavazi na sehemu aliopigia ndio balaa. ukizingatia hivyo vyote na umbo lake la Curve Curve......natamka kuwa this is the BEST photo of Wema...hehehe Naaamini wengi mtakubaliana nani....Icheki
hapa!!!
PERUZI KURASA ZA MBELE NA NYUMA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMATANO HAPA
Tuesday, October 14, 2014
KAMA HUJUI BASI HUYU NDIYE ALIYECHUKUA NAFASI YA GADNER KWA LADY JAY DEE!
Rapper Wakazi ndiye meneja mpya wa mwanamuziki superstar wa kik Tanzania Lady Jaydee.
Akizungumza na Mtanzania Wakazi amesema ni kweli yeye ndiye meneja wa msanii huyo ambaye alikuwa akisimamiwa na Gadner G Habash ambaye ni mume wa Jaydee huku wakidaiwa kumwagana siku za karibuni ingawa wote wamekataa kwa nyakati tofauti kuzungumzia issue hiyo.
Wakazi pia hakutaka kuzungumzia issue hiyo mbele ya mwandishi wa Mtanzania ila alisema;
"mimi sijui chochote maana nilipokwenda Marekani niliwaacha wakiwa wachumba lakini nilipokuwa huko nikasikia wameona, niliporudi nikawakuta tayari wapo katika ndoa na nimeanzkazi ya umeneja wa Jaydee si muda mrefu hivyo sijui mahusiano yao ya ndani labda muwaulize wenyewe" alisema Wakazi ambaye ni binamu wa Jaydee.
HUYU NDIYE KIJANA ALIYESABABISHA MWANADADA HUYU WA CHUO CHA UHASIBU SINGIDA KUJICHOMA KISU KISA KUMTOLEA NJE.
Mwanadada Moza Kassim mwanafunzi wa chuo cha Uhasibu Tawi la Singida, inadaiwa kuwa usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi iliyopita mkoani Singida, alijibizana na mpenzi wake ambaye eti aligundua kuwa ana mpenzi mwingine na katika vuta ni kuvute hawakufikia muafaka ndipo mwanadada akamwambia mpenzi wake kuwa anajichoma kisu mwanaume akajua ni utani akamjibu huwezi, mwanadada akamwambia kwa mara ya pili kisha Moza akajipiga kisu tumboni karibu na kiuno hali yake ikawa mbaya na kuanza kuchuruzika damu ikabidi rafiki zao waliokua karibu wakamkimbiza hospitali ya mkoa, na jana alihamishwa hospitalini hapo na mwanadada huyo yupo chini ya ulinzi wa jeshi la polisi, na kwa mujibu wa sheria Moza ana kesi ya kujibu.
DIAMOND AFUNGUKA RASMI KUHUSU TOFAUTI ZILOZOKUWA ZIKIZUNGUMZWA BAINA YAKE NA ALIKIBA







