Saturday, August 30, 2014
CHEKI BALOTELLI ANAVYOFURAHIA MAISHA LIVERPOOL, UTAFIKIRI MWENYEJIII
SIKIA HII KALI YA MANJI KUTAKA AWANUNUE WACHEZAJI WA SIMBA, HALAFU WASICHEZE LIGI
Posted via Blogaway
TETESI ZA SOKA ZILIZOSHAMILI KWENYE MAGAZETI MBALIMBALI YA ULAYA LEO JUMAMOSI ZIPO HAPA
Posted via Blogaway
Je Toni Kroos ndio kamkimbiza Alonso Madrid? Xab Alonso ajibu.
Posted via Blogaway
Alichojibu Ronaldo kuhusu Di Maria kujiunga na Man Utd na kupewa jezi namba 7
Posted via Blogaway
Shinji Kagawa njiani kuondoka Man United – hii ndio klabu anayoenda
Posted via Blogaway
Hiki ndio kinachomfanya Marcos Rojo asianze kuichezea Man United
Posted via Blogaway
HATIMAYE TORRES AONDOKA CHELSEA AENDA TIMU HII
Posted via Blogaway
Friday, August 29, 2014
DI MARIA AMESEMA CRISTIAN RONALDO ALIMPA TAARIFA ZA NAMBA SABA YA MAN UNITED
Posted via Blogaway
MANJI ASISITIZA, SIMBA WAMEKURUPUKA KWA OKWI
Posted via Blogaway
SAKATA LA OKWI; YANGA SC WATAKA SIMBA NA MCHEZAKJI MWENEYWE WOTE WAFUNGIWE, WAIPA TFF SIKU SABA KUCHUKUA HATUA, VINGINEVYO KESI FIFA HADI CAS…WATAKA FIDIA PIA YA SH MILIONI 900
Mambo yanazidi kupamba moto baada ya uongozi wa Yanga kusema ulipeleka jina la mshambuliaji Emmanuel Okwi katika majina yake ya wachezaji.
Yanga imesema ilipeleka jina hilo, hivyo inashangazwa kusikia Simba imemsajili na imeamua kuongeza adhabu ya kutaka afungiwe na ile faini kutoka dola 200,000 iongezeke nyingine ya dola 500,000.
Kama hiyo haitoshi, Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amewaambia waandishi wa habari leo jijini Dar kwamba walituma barua ya kutaka kuvunja mkataba kwa TFF wakieleza nia yao.
“TFF haikuwa bado imejibu, Okwi akatuandikia sisi barua lakini sisi hatukiandika kwake. Ilipaswa naye apelike TFF.
“Simba pia wamefanya kosa, wanajua Okwi bado ana mkataba na Yanga, lakini wamekurupuka na kumsajili ambalo ni kosa kwa mujibu wa Fifa na Caf.
“Yanga tunajua bado suala la wachezaji wa kigeni liko wazi, dirisha halijafungwa. Ndiyo maana tulipeleka jina lake tukijua kama suala la kupunguza mchezaji mmoja litafika, tutalifanyia kazi.
“Simba na Okwi, wote wanapaswa kufungiwa kutokana na kukiuka vipengele hivi. Sisi tuliamini ni watu wa busara ambao wanakuja kuendeleza soka, lakini hizi ni vurugu ambazo hazijengi,” alisema Manji.
“Tunaamini suala letu TFF italishughulikia ndani ya siku saba, ikishindikana tukakwenda Caf, Fifa au Cas (mahakama ya soka).”
HAYA NDIYO INAYASISITIZA YANGA KWA OKWI:
1. Tokea lakini laki 2 hadi laki 5, Simba pia inawahusu, wasingekubali, wangefuata utaratibu, wamemfuata mchezaji kabla ya kuanza na timu.
2. Wataiomba TFF, ikiwezekana Okwi afungiwe kucheza moja kwa moja, pia Simba kwa kuwa wamemsajili akiwa bado na mkataba.
3. Hawajavunja mkataba, barua aliyoiandikia Yanga, ilitakiwa aindikie TFF kwa kuwa yenye haikumuandikia yeye.
4. Wametoa siku 7 kwa TFF kusikiliza na kutoa majibu ya kesi yao, la sivyo watalipeleka Caf, Fifa au Cas.
Posted via Blogaway
MANJI: TUTASAJILI WA KIGENI SITA OKWI NA JAJA WOTE NDANI
Posted via Blogaway
HII NDO SIKU AMBAYO MCHEZAJI DOMAYO ATALUDI RAMSI UWANJANI
Posted via Blogaway
PERUZI KURASA ZA MBELE NA NYUMA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO IJUMAA HAPA
YANGA NI MUZIKI MNENE MSIMU HUU! NI SHEEEDAH
Posted via Blogaway
YANGA KUVUNJA UKIMYA KUHUSU OKWI LEO HII
Posted via Blogaway







