Friday, August 29, 2014

YANGA KUVUNJA UKIMYA KUHUSU OKWI LEO HII

Siku moja baada ya kujiunga na Simba huku akiwa bado na mkataba na Yanga, uongozi wa Yanga utatoa ufafanuzi kuhusiana na Emmanuel Okwi. Yanga itatoa ufafanuzi kuhusiana na Okwi kuamua kwenda Simba. Habari kutoka ndani ya Yanga zinaeleza uongozi wa klabu hiyo kongwe utatoa ufafanuzi kuhusiana na uamuzi wa kumsajili Okwi. Okwi ametua Simba ikiwa ni siku chache tu baada ya Yanga kuwasilisha barua TFF ikitaka afungiwe kutokana na kukiuka kanuni. Yanga pia iliomba ilipwe fidia ya dola 200,000 (Sh milioni 330). Kabla ya TFF haijajibu lolote kuhusiana na suala hilo, Okwi ametua Simba



Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment