| Siku moja baada ya kujiunga
na Simba huku akiwa bado na
mkataba na Yanga, uongozi
wa Yanga utatoa ufafanuzi
kuhusiana na Emmanuel Okwi.
Yanga itatoa ufafanuzi
kuhusiana na Okwi kuamua
kwenda Simba.
Habari kutoka ndani ya
Yanga zinaeleza uongozi wa
klabu hiyo kongwe utatoa
ufafanuzi kuhusiana na
uamuzi wa kumsajili Okwi.
Okwi ametua Simba ikiwa ni
siku chache tu baada ya
Yanga kuwasilisha barua TFF
ikitaka afungiwe kutokana
na kukiuka kanuni.
Yanga pia iliomba ilipwe
fidia ya dola 200,000 (Sh
milioni 330).
Kabla ya TFF haijajibu
lolote kuhusiana na suala
hilo, Okwi ametua Simba |
0 comments:
Post a Comment