Monday, October 20, 2014
UONGOZI MZIMA WA MDADISIBLOG UNAMTAKIA HAPPY BIRTHDAY MR BOB MAU
MASTAA WOTE WABONGO KWANINI MSIIGE MFANO WA HUYU
BAADA YA VIPIGO MFULULIZO NDANDA FC YAAMUA KUFANYA FUKUZA FUKUZA
HII NI KWA MASHABIKI WA CHELSEA! HIKI NDO KITU KINACHOENDELEA KUHUSU DIEGO COSTA
BAADA YA SARE YAO, HIKI NDICHO KILICHO MBELE YAO SIMBA NA YANGA, MWAKA HUU KAZI IPO!
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MIAMBA ya soka Tanzania, Simba na Yanga iligawana pointi Jumamosi baada ya sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sare hiyo inaifanya Simba SC itimize pointi nne baada ya awali kutoa sare tatu pia, wakati Yanga SC inafikisha pointi saba baada ya mechi nne, ikiwa nyuma ya Azam FC na Mtibwa Sugar zenye pointi 10 kila moja kileleni mwa Ligi.
Pamoja na kushinda 2-1 mara mbili dhidi ya Prisons na JKT Ruvu, lakini Yanga SC ilikutana na upinzani mkali na matokeo yangeweza kuwa kinyume kama si bahati yao.
RATIBA RAUNDI MBILI ZIJAZO LIGI KJUU BARA
Oktoba 25, 2014
Stand United Vs Yanga SC
Ndanda FC Vs Mgambo JKT
Kagera Sugar Vs Coastal Union
Azam Fc Vs JKT Ruvu
Prisons Vs Simba SC
Ruvu Shoot Vs Polisi Moro
Oktoba 26, 2014
Mbeya City Vs Mtibwa Sugar
Novemba 1, 2014
Kagera Sugar Vs Yanga SC
Coastal Union Vs Ruvu Shooting
JKT Ruvu Vs Polisi Morogoro
Ndanda FC Vs Azam FC
Stand United Vs Prisons
Mtibwa Sugar Vs Simba SC
Novemba 2, 2014
Mgambo JKT Vs Mbeya City
Yanga SC sasa watasafiri hadi Shinyanga kuwafuata Stand United waliopanda Ligi Kuu msimu huu, mchezo utakaofanyika Jumamosi Uwanja wa Kambarage.
Stand imeonyesha ni timu imara ikifanikiwa kuvuna pointi tano katika mechi za ugenini, kutokana na sare mbili dhidi ya Simba SC na Kagera Sugar na ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Mgambo.
Stand ilipoteza mchezo wa kwanza nyumbani kwa kufungwa 4-1 na Ndanda FC ya Mtwara iliyopanda pia Ligi Kuu msimu huu, lakini baada ya hapo imecheza mechi tatu ugenini bila kufungwa.
Pata picha Yanga SC wanakwenda kukutana na upinzani wa aina gani katika mchezo huo Jumamosi.
Simba SC sasa. Watacheza na Prisons ya Mbeya Jumamosi Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Prisons ilionyesha upinzani ikifungwa na Yanga SC 2-1 na pia ilishinda ugenini 2-0 dhidi ya Ruvu Shooting kabla ya kutoa sare ya 0-0 na Azam FC Mbeya.
Jana, Prisons wamefungwa 2-1 na JKT Ruvu Mbeya na baada ya mchezo huo, kocha Juma Mwambusi akasema amekubali matokeo na anaelekeza nguvu zake katika mchezo ujao.
Simba SC ambayo haijashinda mechi msimu huu kwa kutoa sare nne, unafikiri inakabiliwa na mechi ya aina gani mwishoni mwa wiki?
Sunday, October 19, 2014
DIVA WA CLOUDS AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MAHUSIANO YAKE YA KIMAPENZI!
MATOKEO YA LIVERPOOL vs QPR HAYA HAPA
WATOTO WA SHILOLE WAMPA MTIHANI NUH MZIWANDA!
TAZAMA PICHA ZAIDI YA 2O KILICHOJIRI JANA KWENYE SERENGETI FIESTA 2014 VIWANJA VYA LEADERS
WATANGAZAJI MAMBURULAAZ WA TELEVISHENI WAAMUA KUTANGAZA KIPINDI WAKIWA HIVI
Watangazaji wawili wa kipindi cha
televishen "The View" wamewapa
watazamaji wao mshangao pale walipovua nguo zao na kubaki uchi wakati show hiyoikiendelea Sherri Shepard na Jenny McCarthy wliamua kubadilisha mambo na kutangaza kipindi chao wakiwa uchi wa mnyama. Watazamajihawakuonekana kujali
kutokana na tukio hilo na kuwapigia
makofi na kelele nying
Saturday, October 18, 2014
LIVE KUTOKA TAIFA; YANGA VS SIMBA
Dk 4 Okwi anaingia na
kujaribu lakini shuti lake
linakuwa nyanya.
Dk 6, Jaja anapiga kichwa
lakini kinatoka nje kidogo ya
lango la Simba.
Picha na salehally
KALI DUNIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA, REFA NICOLAS AMLIMA KADI NYEKUNDU CAVANI KISA KUSHANGILIA KWA STAILI YA MTUTU WA BUNDUKI
HILI NI PIGO LINGINE KUBWA WALILOLIPATA TIMU YA LIVERPOOL
KLABU ya Liverpool imepata pigo kubwa jana wakati Daniel Sturridge alipotakiwa kuwa nje kwa angalau wiki tatu zaidi baada ya kuumia tena mazoezini.
Kocha Brendan Rodgers amekuwa na matumaini kupona kwa mshambuliaji huyo kungeimarisha kikosi chake.
Sasa Sturridge, ambaye aliumia ndama wakati wa kupasha misuli moto Melwood Alhamisi, atakosa mechi kadhaa ngumu zikiwemo za nyumbani na ugenini za Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid.
Mshambuliaji wa Liverpool, Daniel Sturridge anatarajiwa kuendelea kuwa nje kwa wiki tatu zaidi
MECHI ZA LIVERPOOL AMBAZO SASA STURRIDGE ATAZIKOSA
1. QPR v Liverpool
2. Liverpool v Real Madrid
3. Liverpool v Hull
4. Liverpool v Swansea
5. Newcastle v Liverpool
6. Real Madrid v Liverpool
7. Liverpool v Chelsea
Liverpool itakuwa na mechi saba katika wiki tatu zijazo ikiwemo ya hatua ya 16 Bora ya Kombe la Ligi, au Capital One dhidi ya Swansea Oktoba 28 na ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea Uwanja wa Anfield Novemba 8.
Sturridge alipona maumivu ya mguu aliyopata akiichezea timu ya taifa ya England Septemba mwaka huu, maumivu ambayo yalizua mtafaruku baina ya Rodgers na kocha wa Three Lions, Roy Hodgson juu ya muda wa kupona kwa mpachika mabao huyo.
TUKIO ZIMA LA MAMA MCHAWI ALIYEDONDOKA WAKATI AKIJIANDAA KWENDA KUMUUA MJUKUU WAKE
ANGALIA HII VIDEO ALICHOFANYIWA BAADA YA KUMSHIKA MCHEZAJI
Friday, October 17, 2014
KILICHOMPATA ADMIN WA BLOG MOJA HIVI KUHUSIANA NA KUMTETEA MISS TANZANIA 2014 WEE...SOMA HAPO CHINI
WEMA SEPETU USO KWA USO NA MUME WA LADY JAY DEE, GADNER!







