Watoto wawili wa kike wa muimbaji wa
Tanzania, Shilole, hawamuiti mpenzi wa
staa huyo Nuh Mziwanda ‘baba’ bali
‘uncle’
Akiongea na Power Jams ya East Africa
Radio, Nuh amesema watoto hao
wanampenda.
“Watoto wananiita uncle,” amesema Nuh.
“Nafurahi nikiamka asubuhi ‘uncle good
morning’, yaani fresh, ‘uncle maji ya
kuoga’. Ni watoto lakini wananipenda,
wana love kwangu. Kuna |
0 comments:
Post a Comment