Sunday, October 19, 2014

WATOTO WA SHILOLE WAMPA MTIHANI NUH MZIWANDA!

Watoto wawili wa kike wa muimbaji wa Tanzania, Shilole, hawamuiti mpenzi wa staa huyo Nuh Mziwanda ‘baba’ bali ‘uncle’ Akiongea na Power Jams ya East Africa Radio, Nuh amesema watoto hao wanampenda. “Watoto wananiita uncle,” amesema Nuh. “Nafurahi nikiamka asubuhi ‘uncle good morning’, yaani fresh, ‘uncle maji ya kuoga’. Ni watoto lakini wananipenda, wana love kwangu. Kuna

 BOFYA HAPA KUSOMA ZAID> 

0 comments:

Post a Comment