Thursday, August 21, 2014
KAMA UNGEKUWA MWALIMU WA NIDHAMU UNGEWPA ADHABU GANI WANAFUNZI HAWA?
HIVI NDO VITUO VITAKAVYO UZA TIKETI ZA MECHI KATI YA WAKONGWE WA REALMADRID VS TANZANIA ELEVEN
Waratibu wa ziara ya kikosi cha Real Madrid, Kampuni ya Tanzania Sisi ni Nyumbani (TSN), wametangaza sehemu ambazo tiketi za mechi inayosubiriwa kwa hamu ya wakongwe wa Tanzania Al maarufu kama Tanzania Eleven dhidi ya Real Madrid wakongwe zinapouzwa.
Wamesema vituo vinaweza kuongezeka kutokana na mahtaji ya juu ya watu lakini vituo zaidi ya 10 tayari zimeanza kuuza tiketi hizo.
TICKET ZA REAL MADRID ZINAPATIKANA KATKA VITUO VIFUATAVYO.
TSN BAMAGA SUPERMARKET .
TSN OIL BAMAGA PETROL STATION.
TSN SUPERMARKET UPANGA .
TSN SUPERMARKET TEGETA.
BIG BON MSIMBAZI.
BIG BON SINZA.
BIG BON TEMEKE.
BIG BON MBAGALA.
BIG BON TEGETA.
TSN SUPERMARKET TANCORT HOUSE .
MARRY BROWN MASAKI.
TSN SUPERMARKET MIKOCHENI.
TSN OIL TABATA KIMANGA.
ENGEN MIKOCHENI
MARRY BROWN MLIMANI CITY
KIBOKO YA MAN U YASAJILI BEKI WA ARGENTINA
#Exclusive: Tumesoma sana ya Magazeti, sasa tuisikilize sauti ya Okwi mwenyewe kuhusu kuondoka Yanga.
Mganda Emmanuel Okwi harudi tena Yanga na sasa ameweka wazi kwamba anashughulikia mipango yake kwenda kucheza soka la Ulaya >>> Okwi aachana na Yanga mchana kweupe!!!!! >>> Okwi achukizwa na ishu ya DVD ya Maximo <<<< hizo ni baadhi tu ya sentensi kwenye Magazeti mbalimbali ya Tanzania kwa wiki kadhaa ila ukweli kutoka kwa Okwi mwenyewe ni huu hapa chini.
Akiwa Kampala ameongea kwenye Exclusive interview na Bill the African ambae ni ripota wa millardayo.com na AyoTV Kampala Uganda na kusema haya >>> ‘Mimi na Yanga tulikua na makubaliano ya mkataba na hakuna ukweli kwamba Mshahara niliokua nalipwa Yanga ni mdogo, mshahara usingekua unatosha nisingekubali kusaini mkataba ‘ ‘Ni kweli kuna mambo mengi hayapo sawa kati yangu na club yangu ya Yanga ila ni mambo ya ndani ambayo nisingependa kuyazungumzia, ni mambo madogo ambayo nadhani yanaweza kuisha‘ ‘Hakuna ukweli kwamba mimi nakwenda Ulaya, sijui hata imetoka wapi na nani kaanzisha hii ya Ulaya, mimi bado ni mchezaji halali wa Yanga na huwa naongea nao karibu kila siku, hata jana nimetoka kuongea na katibu mkuu na mambo yote yanaelekea vizuri hamna shida yoyote mpaka sasa hivi‘
Kama unahitaji zaidi kupata ushahidi wa sauti yake Okwi akiongelea hi iishu bonyeza play hapa chini. PLAY HAPA
USIKILIZE
Credit millardayo
LIVERPOOL SASA YAGEUKIA KWA MARIO BALOTELLI
TIMU YA ARSENAL YAPATA PIGO LINGINE KUBWA
EFM yavunja ngome ya kipindi cha michezo cha Radio One, yawachukua Maulid Kitenge na Omary Katanga
HII MPYAAA..!! SIKIA HII YA INAYOMUHUSU DULLY SYKES KUIBA MKE WA MZUNGU NA KUTAKA KUMUOA, SIKILIZA NDUGU WALIVYOKUJA JUU..!!
Kama ilivyo ada makamanda wa @gossipcourt walipokua mzigoni walifanikiwa kunasa vinasaba vya sauti vikimzungumzia msanii wa mziki wa kizazi kipya u maarufu kama bongo flava alievunja ndoa ya mwanadada aliolewa na mzungu,huku wengi wakimshangaa bidada huyo kwa kuchezea bahati ati kumfanyia vituko mzungo na kuhamia kwa bongo flava huyo huku wakiponda starehe na raha kwa pesa zinazotoka kwa mzungu huyo....
SOMA ALICHOKISEMA ALIKIBA KUHUSU UWEZEKANO WA KUFANYA NYIMBO NA DIAMOND
SOMA HAPA KIPYA ALICHOKISEMA DIVA KUHUSU PENZI LAKE KWA CRAZY GK