Thursday, August 21, 2014

HII MPYAAA..!! SIKIA HII YA INAYOMUHUSU DULLY SYKES KUIBA MKE WA MZUNGU NA KUTAKA KUMUOA, SIKILIZA NDUGU WALIVYOKUJA JUU..!!

Kama ilivyo ada makamanda wa @gossipcourt walipokua mzigoni walifanikiwa kunasa vinasaba vya sauti vikimzungumzia msanii wa mziki wa kizazi kipya u maarufu kama bongo flava alievunja ndoa ya mwanadada aliolewa na mzungu,huku wengi wakimshangaa bidada huyo kwa kuchezea bahati ati kumfanyia vituko mzungo na kuhamia kwa bongo flava huyo huku wakiponda starehe na raha kwa pesa zinazotoka kwa mzungu huyo....

 BONYEZA HAPA KUSIKILIZA 

0 comments:

Post a Comment