Thursday, August 21, 2014

LIVERPOOL SASA YAGEUKIA KWA MARIO BALOTELLI

Liverpool imeanza mipango ya kumnasa Mario Balotelli kutoka AC Milan. Kocha wa Liverpool, Brendan Rogders anataka kumnsa mshambuliaji huyo kwa mkopo kuyoka Milan. Awali kocha huyo alisema hawana mpango wa kumsajili Balotelli. Hata hivyo imeelezwa AC Milan wangependa suala hilo liwe biashara ya ‘cash’ na si mkopo. Na mdadisiblog/festosaimon

 BONYEZA HAPA USOME HABARI ZINGINE 

0 comments:

Post a Comment