Waratibu wa ziara ya kikosi cha Real Madrid, Kampuni ya Tanzania Sisi ni Nyumbani (TSN), wametangaza sehemu ambazo tiketi za mechi inayosubiriwa kwa hamu ya wakongwe wa Tanzania Al maarufu kama Tanzania Eleven dhidi ya Real Madrid wakongwe zinapouzwa.
Wamesema vituo vinaweza kuongezeka kutokana na mahtaji ya juu ya watu lakini vituo zaidi ya 10 tayari zimeanza kuuza tiketi hizo.
TICKET ZA REAL MADRID ZINAPATIKANA KATKA VITUO VIFUATAVYO.
TSN BAMAGA SUPERMARKET .
TSN OIL BAMAGA PETROL STATION.
TSN SUPERMARKET UPANGA .
TSN SUPERMARKET TEGETA.
BIG BON MSIMBAZI.
BIG BON SINZA.
BIG BON TEMEKE.
BIG BON MBAGALA.
BIG BON TEGETA.
TSN SUPERMARKET TANCORT HOUSE .
MARRY BROWN MASAKI.
TSN SUPERMARKET MIKOCHENI.
TSN OIL TABATA KIMANGA.
ENGEN MIKOCHENI
MARRY BROWN MLIMANI CITY
0 comments:
Post a Comment