Pata habari nyingi za kimichezo kwa kuingia >>>>>>>>>>>>>> ingia hapa <<<<<<<<<<
MDADISIBLOG
Pata habari nyingi za kimichezo kwa kuingia >>>>>>>>>>>>>> ingia hapa <<<<<<<<<<
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI BOFYA HAPA UPATE HABARI ZA KIMICHEZO KIRAHISI KABISAA
KAMA BADO UJAJIUNGA NASI BOFYA HAPA ILI UPATE HABARI ZA KIMICHEZO KIRAHISI ZAID
Source millardayo BONYEZA HAPA KUHUNGANA NA FAMILIA YA HABARI ILI UPATE HABARI KIRAHISI PUNDE ZITUFIKIAPO:
Analia: Kocha Msaidizi Ryan Giggs akiwa ameshika kichwa akilia kwa uchungu mwishoni mwa mchezo huo, huku kocha Louis van Gaal akiwa haamini macho yake |
KOCHA Louis van Gaal ameendelea kuogelea katika bwawa la maji moto Manchester United, baada ya usiku huu kfungwa na Mk Dons ya Daraja la Kwanza mabao 4-0 katika michuano ya Kombe la Ligi, maarufu Capital One. Mabao yaliyomtia machungu Van Gaal leo yamefungwa na Will Grigg dakika ya 25 na 63 na Benik Afobe anayecheza kwa mkopo kutoka Arsenal dakika ya 70 na 83. Kocha Msaidizi Ryan Giggs alionekana kufuta machozi baada ya bao la tatu, akiwa kwenye benchi na bosi wake, van Gaal. Kikosi cha MK Dons: Martin, Baldock, Kay, McFadzean, Lewington, Carruthers, Potter, Reeves, Alli, Bowditch, Grigg. Subs: Green, Spence, Randall, McLoughlin, Powell, Hitchcock, Afobe. Man Utd: De Gea, Vermijl, Evans, Michael Keane, James, Janko, Anderson, Kagawa, Powell, Welbeck, Hernandez.
Juzi ndani ya Club Maisha dar es salaam,kulikua na Party kubwa iliyoandaliwa na Mtangazaji wa Kituo cha Clouds Fm Ala za
Roho, Party hii ilihudhuriwa na wajanja wengi wa Town na burudani ilitolewa na Rapper Chidi Benz ambaye kwa muda
mrefu hajaonekana kwenye Majukwaa na sasa hivi anai promote Ngoma yake mpya
Mpaka Kuchwee aliyo washirikisha
Diamond na Ambwene Yesaya (A.Y) Chidi alipokelewa na vizuri na mashabiki waliohudhuria usiku huo, wengine walioperform ni Bob Junior Sharobaro mwenye nyota ya chips Mayai, Kassim Mganga kutoka Manza Bay Tanga, Shilolole
Kiuno pamoja na Mpenzi wake Nuh
Mziwanda wao ndio walifunga kazi kabisa kwa kula denda on stage, Godzilla pia aliperform pamoja na Wadananda, Party hii
iliisha mida ya saa kumi na moja alfajiri.