DILI la Angel di Maria kutua Manchester
United linakaribia kabisa kutimia baada ya
wakala wake, Jorge Mendes kupigwa picha
akiwa na kocha wa Mashetani hao Wekundu,
Louis van Gaal.
Van Gaal alikuwa akitabasamu na Mendes
wakati wawili hao wakiwa kwenye gari
kuelekea viwanja vya mazoezi vya United leo
wakitazamiwa kukamilisha dili la Di Maria na
klabu hiyo. |
0 comments:
Post a Comment