 |
Beki kisiki Javier
Mascherano ameongeza
mkataba wake wa kuichezea
Barcelona.
Mascherano raia wa
Argentina, sasa ataichezea
Barcelona hadi mwaka 2018
na amesema ni furaha kubwa
kwake.
Mkataba huo umesainiwa leo
na kila upande umeonyesha
kuwa na furaha kuhusiana na
mkataba huo mpya. |
Pata habari nyingi za kimichezo kwa kuingia >>>>>>>>>>>>>> ingia hapa <<<<<<<<<<
0 comments:
Post a Comment