Wednesday, August 27, 2014

Uhusiano mpya unaosemekana kutoka kwa Kajala na Quick Rocker

Kama ikiwa ni kweli inaweza ikawa ni uhusiano mwingine amabayo inahusu sanaa kutoka kiwanda cha Bongo Movie na Bongo Fleva na kuwa kwenye mastar wa Tanzania waliyo kwenye uhusiano. Kwa Tanzania ukimtoa Wema Sepetu na Diamond watu wengine walio kwenye uhusiano na kutangaza kabisa ni pamoja na Nuh Mziwanda na Shilole ingawa pia zilishawahi kutoka stori za Msami wa THT na Irene Uwoya kuwa wapenzi. Soudy Brown kapiga stori na meneja wa Kajala ambaye alikua nae Kajala pamoja na Quick Rocker hata wiki iliyopita Tanga,ambaye nae kazungumza kinachoendelea katikati yao hao watu wawili. Kikubwa alichozungumza meneja wa Kajala ni juu ya kazi mpya ya filamu ambayo inategemewa kutoka siku si nyingi ambayo inamhusisha Kajala na Quick Rocker,filamu hiyo inaitwa Mbwa Mwitu.

Source millardayo BONYEZA HAPA KUHUNGANA NA FAMILIA YA HABARI ILI UPATE HABARI KIRAHISI PUNDE ZITUFIKIAPO: 

0 comments:

Post a Comment