Tuesday, October 07, 2014
SHILOLE AKUTWA NA DOGODOGO NYINGINE...NUH MZIWANDA HANA CHAKE TENA
BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14
Dully Sykes: ‘Hakuna rapper wa Bongo anayefikia utajiri wangu’, Fid amjibu
Wiki mbili kabla ya kukutana na Yanga – Okwi apata majeruhi, Daktari azungumza
MAMBO YANAYOFANYIKA NYAKATI ZA USIKU DAR NI HATARI
MAHABA NIGALAGAZE: MREMBO HUYU APONZWA NA PENZI LA MGANGA..AFUKUZWA NYUMBANI KWAO! SOMA ZAIDI HAPA!
HUYU NDIO MWANAMKE TAJIRI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI: CHEKI PICHA ZAKE HAPA
WABONGO KUNA MUDA HUWA WANAJITAKIA MATATZO WENYEWE,HUFANYA VITU KAMA WAMEKATWA VICHWA
Rekodi 7 tofauti alizoweka Cristiano Ronaldo baada ya kufunga hat trick dhidi ya Bilbao
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo jana usiku alifunga magoli matatu na kutimiza jumla ya magoli 17 katika michuano yote aliyoitumikia Real Madrid.
Magoli hayo yalimfanya Ronaldo aweke rekodi kadhaa kwenye historia ya soka na rekodi hizo zipo kama ifuatavyo:
*3 – Hii ni Hat trick ya 3 ya Ronaldo katika La Liga msimu huu na amefanikiwa kufunga hat tricks hizo katika kipindi cha siku 15 tu.
*111 – Mchezo wa jana usiku ulikuwa wa 111 kwa Ronaldo kuitumikia timu yake ya taifa au klabu na katika mechi hiz zote amefunga zaidi ya goli moja.
*Cristiano amekuwa mchezaji wa pili kufunga hat tricks 3 katika mechi 7 za raundi ya kwanza ya La Liga – baada ya Mariano Martin kufanya hivyo msimu wa 1943-44.
*Cristiano ndio mchezaji wa kwanza kufunga magoli 13 au zaidi katika mechi 7 za kwanza Liga – tangu alipofanya hivyo Echevaria katika msimu wa 1943.
*50 – Cristiano Ronaldo mpaka sasa ameshatoa assists 50 kwa wachezaji wenzie wa Real Madrid.
*190 – Magoli matatu aliyofunga Cristiano Ronaldo jana dhidi ya Athletic Bilbao yalimfanya atimize jumla ya magoli 190 katika mechi 171 alizoichezea Real Madrid kwenye ligi.
*9 – Gareth Bale mpaka sasa amempa Cristiano Ronaldo assists nyingi kwenye La liga tangu mwanzo mwa msimu uliopita – amempata assists 9.
MWANAFUNZI WA MIAKA 17 AMPA MIMBA MWALIMU WAKE MWENYE UMRI WA MIAKA 25.....KAMANDA WA POLISI ASEMA MWALIMU HANA KOSA KISHERIA!
ANGALIA PICHA ZA KUWANANGA WENGER, MOURINHO ZILIVYOZAGAA MITANDAO MBALIMBALI
HIKI NDICHO WAZIRI ALICHOWAAGIZA TFF KUKIFANYA KUHUSU 5% YA FEDHA ZA WADHAMINI WA KLABU
HARUFU YA SAFARI YA PHIRI KWENDA KUSALIMIA ZAMBIA, INAANZA KUNUKIA
Na salleh ally HABARI ZINGINE BOFYA HAPA
Monday, October 06, 2014
WENGER AELEZA KISA CHA UGOMVI WAKE NA MOURINHO, ASISITIZA WALA HAJUTII
HIVI NDIVYO DIAMOND ALIVOFANYA MAKAMUZI YA NGUVU BIG BROTHER HOTSHOTS
RONALDO AFANYA YAKE TENA REALMADRID IKIICHAPA ATHLETIC BILBAO







