Tuesday, October 07, 2014
HUYU NDIO MWANAMKE TAJIRI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI: CHEKI PICHA ZAKE HAPA
WABONGO KUNA MUDA HUWA WANAJITAKIA MATATZO WENYEWE,HUFANYA VITU KAMA WAMEKATWA VICHWA
Rekodi 7 tofauti alizoweka Cristiano Ronaldo baada ya kufunga hat trick dhidi ya Bilbao
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo jana usiku alifunga magoli matatu na kutimiza jumla ya magoli 17 katika michuano yote aliyoitumikia Real Madrid.
Magoli hayo yalimfanya Ronaldo aweke rekodi kadhaa kwenye historia ya soka na rekodi hizo zipo kama ifuatavyo:
*3 – Hii ni Hat trick ya 3 ya Ronaldo katika La Liga msimu huu na amefanikiwa kufunga hat tricks hizo katika kipindi cha siku 15 tu.
*111 – Mchezo wa jana usiku ulikuwa wa 111 kwa Ronaldo kuitumikia timu yake ya taifa au klabu na katika mechi hiz zote amefunga zaidi ya goli moja.
*Cristiano amekuwa mchezaji wa pili kufunga hat tricks 3 katika mechi 7 za raundi ya kwanza ya La Liga – baada ya Mariano Martin kufanya hivyo msimu wa 1943-44.
*Cristiano ndio mchezaji wa kwanza kufunga magoli 13 au zaidi katika mechi 7 za kwanza Liga – tangu alipofanya hivyo Echevaria katika msimu wa 1943.
*50 – Cristiano Ronaldo mpaka sasa ameshatoa assists 50 kwa wachezaji wenzie wa Real Madrid.
*190 – Magoli matatu aliyofunga Cristiano Ronaldo jana dhidi ya Athletic Bilbao yalimfanya atimize jumla ya magoli 190 katika mechi 171 alizoichezea Real Madrid kwenye ligi.
*9 – Gareth Bale mpaka sasa amempa Cristiano Ronaldo assists nyingi kwenye La liga tangu mwanzo mwa msimu uliopita – amempata assists 9.
MWANAFUNZI WA MIAKA 17 AMPA MIMBA MWALIMU WAKE MWENYE UMRI WA MIAKA 25.....KAMANDA WA POLISI ASEMA MWALIMU HANA KOSA KISHERIA!
ANGALIA PICHA ZA KUWANANGA WENGER, MOURINHO ZILIVYOZAGAA MITANDAO MBALIMBALI
HIKI NDICHO WAZIRI ALICHOWAAGIZA TFF KUKIFANYA KUHUSU 5% YA FEDHA ZA WADHAMINI WA KLABU
HARUFU YA SAFARI YA PHIRI KWENDA KUSALIMIA ZAMBIA, INAANZA KUNUKIA
Na salleh ally HABARI ZINGINE BOFYA HAPA
Monday, October 06, 2014
WENGER AELEZA KISA CHA UGOMVI WAKE NA MOURINHO, ASISITIZA WALA HAJUTII
HIVI NDIVYO DIAMOND ALIVOFANYA MAKAMUZI YA NGUVU BIG BROTHER HOTSHOTS
RONALDO AFANYA YAKE TENA REALMADRID IKIICHAPA ATHLETIC BILBAO
NI SHEEEDAH.....MTUMISHI AVAMIA ENEO LA MAKABURI NA KUJENGA BAA
News Alert: Siri yafichuka: Sababu ya wabunge kucheza "kitorondo" bungeni hii hapa
Baada ya "Rasimu ya Sitta" kupitishwa na Bunge maalumu baadhi ya wabunge walilipuka kwa furaha na wengine wakakata mauno hadharani, huku mbunge wa Njombe kaskazini Deo Sanga akicheza "Kitorondo" na kukata mauno mbele ya halaiki.
Pia kuna wabunge wengine walikua wakicheza kwa kufuatisha milio ya miziki iliyokua ikirindima kupitia simu zao za mkononi.Watu wengi walihamaki kitendo cha wabunge kufurahia Rasimu hiyo hadi kufikia hatua ya kujitoa akili.
Hii hapa siri ya furaha ya Wabunge hao..
RASIMU YA WARIOBA ILIPENDEKEZA:
1. Mbunge akigombea vipindi vitatu basi, awaachie wengine.
2. Mbunge akivurunda ktk utendaji wake, wananchi wana uwezo wa kumuondoa na kuchangua mwingine.
3. Hakuna mbunge kuwa Waziri, Mkuu wa mkoa, m/kiti wa bodi ya shirika etc. (kwanini vyeo vyote mjilundikie nyie?).
4. Elimu ya mbunge iwe angalau stashahada (diploma) na kuendelea.
RASIMU YA SITTA (ILIYOPITISHWA) IMEPENDEKEZA HIVI:1. Ukomo wa Ubunge usiwe vipindi vitatu.. Hata wazee waliokaa bungeni miaka 50 kama Kingunge, waendelee tukugombea. Vijana wanaotaka kuwa viongozi labda wakajaribu kwny SACCOSS sio UBUNGE.
2. Mbunge akivurunda wananchi hawawezi kumfanya kitu chochote hadi miaka mitano iishe na mbunge apewe pensheni yake (Mil.160).
3. Ruksa Mbunge kuwa waziri, Mkuu wamkoa, DC, Mwenyekiti wa shirika, na vyeo vingine kadri anavyoweza kujilundikia. Wanaosema mbunge asiwena vyeo viwili au zaidi, wana "wivu wa kike" (according to Pius Msekwa).
4. Elimu ya Mbunge iwe kama ya Deo Sanga (mbunge Njombe Kask), yaani kujua kusoma na kuandika tu inatosha. Rasimu ya Sitta inasema si lazima mbunge awe na degree, diploma, au cheti.Si lazima mbunge awe na elimu ya sekondari. Si lazima Mbunge awe amemaliza elimu ya msingi. Hata kama alisoma akaishia darasa la 3 lakini anajua kusoma na kuandika RUKSA KUGOMBEA UBUNGE.
Sasa je katika mazingira haya wabunge wataacha kukata mauno na kucheza"kitorondo" kwa Rasimu hii kupita??JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.
Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!
HUYU NI MCHEZAJI ALIYEINGIA KWENYE ORODHA YA WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED MUHIMU OLD TRAFORD
HIVI NDO JINSI ARSENAL WENGER ALIVOTAKA KUMCHEZESHEA KICHAPO MOURINHO STARMFORD BRIDGE
HIVI NDO JINSI KICHWA CHA SANCHEZ KILIVOMPELEKA KIPA WA CHELSEA HOSPITALI APO JANA







