Sunday, August 24, 2014

KISA NI CHA KWELI SIO HADITHI PITIA

Habari wana wadau…!!! Huu ni mkasa wa kweli kabisa na nipo njia panda mpaka sahivi sijui cha kufanya. Nipo kwenye mahusiano na mtoto mkali kweli wa kichaga na tunapendana sana, tumekuwa na mipango na future nzuri tu. Tumevumiliana kwenye shida na raha japo yeye bado anasoma na yupo mwaka wa mwisho. Yeye anakaa Arusha ila anasoma hapa Dar kwenye chuo kimoja. Sasa chuo kilipofungwa si akaenda likizo kwao na likizo hiyo ikaambata na field ya muda mrefu akaniacha hapa dar…!! Bwana weeeh kama ilivyo kawaida kiasili wanaume wengi ila sio wote tamaa ikaja nilikutana na demu mmoja nilikua nakaa nae kitaa na alikua jirani yangu kipindi iko nakaa home kwa wazazi nayeye pia alikua ameshahama kwao anajitegemea so wazazi wake na wangu wanafahamiana vizuri wana urafiki wa kawaida tu. Basi dem sikumtongoza ila tulibadilishana namba za simu tukawa tunawasiliana dem nikilmkaribisha getho anakuja. Alinipa historia ya maisha yake baada ya kupotezana kwa miaka mingi alikua na mtoto mmoja wa kike ila alikua hajaolewa bwana ake baada ya kumpa mimba na mtoto akazaliwa akazuga zuga kama kawaida akakimbia na kumuacha ila hela ya matumizi ya mtoto wake anapeleka kama kawaida kila mwezi. Tukawa marafiki anakuja getho na mm naenda kwake mara moja moja… sikutaka kumtongoza nilitaka siku akija getho nipige tu coz sometime tulikuwa tuna kunywa whisky, wine akiwa anakuja getho. Kuna siku nikalazimisha nikaishia kula mate…..!! siku zilivyokwenda nikamuomba game hapo sijamtongoza wala kumwambia nakupenda akawa staki nataka nikaona anazingua ngoja niachane nae nikawa nampotezea sasa ila kila siku lazima apige simu na kutuma sms sometime najibu ila sometime napotezea….!! Kuna siku akakasirika kwann siimjibu sms zake wala kupokea simu yake nikamwambia nipo tite sana na kazi akasema atafuta namba yangu mimi nikamwambia asifute ila anivumilie tu. Basi bwana siku, miezi ikapita nimeshaanza hata kumsahau ilikua ijumaaa mida ya saa 12 jioni mchepuko ukapiga simu upo wapi nikamwambia nipo getho akanambia napitia hapo nakuja.!! moyoni niksema leo lazima nikumalize ikishindikana leo basi naaachana kabisa na wewe. Nikaenda kuoga fast nikaandaa kondom za kutosha na nikapika chakula changu pale nikijiandaaa kumgegeda uyu kiumbe. Niliposhiba vizuri mtoto akaja siku hiyo hata sikupata tabu nilimshughulikia vya kutosha na alifurahi basi ikawa ndo mchezo wetu na tukakubaliana tukapime na tulivyopima tukajikuta tukawa fresh yani ikawa kama dozi kumbuka sijawahi kumwambia nakupenda. Basi kuna siku akaniuliza hivi unanichezea au unanipenda nikamjibu kwanza nina mpenzi yupo nje ya dar anarudi mwezi wa tisa ukae ukijua hilo nikamwambia tutaendelea hivi hivi akija itakua basi maana nay eye bwana ake wa zamani alikua anamsumbua so nikahisi pia watarudiana tu. Muda ukazidi kwenda nikawa nakula mzigo navyotaka safari hii nikawa naenda kwakwe pale kwangu nikamwambia haiwezekani kuja tena maana kuna mtu anafahamiana na mtoto wa kichaga so ataharibu mambo. Ilileta utata ila akaelewa kwa utata sana na vitisho juu so nikawa naenda tu kwakwe kula mzigo na kusepa..!! Basi mambo yakawa mambo Yule mchepuko akanambia ana mimba tukaenda kupima kweli alikua ana mimba ya mwezi mmoja akawa anataka kutoa mm nikamwambia asitoe nimeukubali yeye akasema sawa hataitoa hii mimba iwapo tu nikubali niende kwa wazazi wake nikajitambulishe moyoni nikasema labda ardhi ipasuke ndo naweza kwenda.. Nikamwambia si unakumbuka lakini nina mtu inawezekana kweli mm kufanya hivyo nikamwambia lea mimba itakua siri baada ya mwaka mmoja kila kitu kitajulikana na kitakuwa wazi kwa kila mtu na mm nitakupa ushirikiano wa kutosha kabisa.. Basi akakataaa akanitishia kutoa nikambembeleza wapi mwsiho wa siku nikamwambia uamuzi ni wako sasa ila siwezi muacha mchaga wangu ila nipo tayari kumkubali mtoto yeye akasema kama staki kwenda kwao anatoa nikamjibu utakua uamuzi wako sio wangu… sasa mchaga wangu anakaribia kuja na mchepuko umenambia umekubali mawazo yangu kuwa atafanya siri kwa mwaka mmoja ila sasa simwamini nahisi atakuja kuniharibia makusudi.. naomba ushauri hapo wadau nifanyaje

TETESI ZA SOKA ZILIZOSHAMILI KWENYE MAGAZETI MBALIMBALI YA ULAYA WIKIENDI HII ZIPO HAPA

Mshambuliaji wa England Danny Welbeck, 23, ameambiwa anaweza kuondoka Manchester United, wakati Louis van Gaal akiendelea kukisuka kikosi chake. Tottenham wameonesha nia ya kumtaka Welbeck (Times), mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Samuel Eto'o, 33, amefanyiwa vipimo vya afya Liverpool na atasaini mkataba wa mwaka mmoja Anfield (Daily Mirror), meneja wa Sunderland Gus Poyet hajakata tamaa kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Fabio Borini, 23, na anataka kuchukua wachezaji wengine wawili kwa mkopo (Daily Express), Barcelona walitoa dau la pauni milioni 48 kumtaka winga wa Real Madrid Angel Di Maria, 26, lakini ombi hilo lilikataliwa mara moja na rais wa Real Florentino Perez (sport.es), kiungo wa zamani wa Manchester United Paul Pogba, 21, amefuta matumaini yoyote ya kurejea Old Trafford baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano Juventus (Daily Star), Liverpool wamemuambia Mario Balotelli kuwa atapoteza pauni milioni 2 kwa mwaka iwapo ataonesha utovu wa nidhamu, baada ya pia kukubali kupunguza mshahara wake kutoka AC Milan (Sun), AC Milan wanatazama kati ya wachezaji sita kuziba pengo la Balotelli, akiwemo Javier Hernandez, 26, wa Man U, Roberto Soldado, 29, wa Spurs na Fernando Torres, 30, wa Chelsea (Gazetta dello Sport), Arsenal wanakaribia kumsajili beki wa Olympiakos Kostas Manolas, 23, kuziba pengo la Thomas Vermaelen aliyekwenda Barcelona (Goal), kipa wa Stoke City Asmir Begovic, 27, hatoondoka kabla ya dirisha la usajili kufungwa licha ya Liverpool, Manchester City, Arsenal na Real Madrid kuonesha dalili za kumtaka (Daily Mirror), AC Milan wanamtaka kiungo wa Chelsea Marco van Ginkel kwa mkopo (Inside Futbol), boss wa Sunderland Gus Poyet anamtaka Danny Welbeck wa Man U kwa mkopo (Sunderland Echo), Fredy Guarin anayesakwa na Man U anajiandaa kujiunga na Zenit St Petersburg baada ya Andre Villas Boaz kumshawishi mchezaji huyo kutoka Colombia kuhamia Urusi, ingawa lazima kwanza wafuzu kucheza Champions League (Gazetta dello Sport), Napoli wanafikiria kumchukua Marouanne Fellaini licha ya kumsajili Jonathan de Guzman (Corriere dello Sports), mshambuliaji wa Arsenal Lukas Podolski anajiandaa kurejea Ujerumani na kujiunga na Wolfsburg. Galatasaray na Besitkas wanamtaka mchezaji huyo, lakini anaonekana kwenda Bundesliga (Metro). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Zimesalia siku tisa kabla ya dirisha la usajili kufungwa. Cheers!!

RAIS KIKWETE ALIVYOJUMUIKA NA MAGWIJI WA REAL MADRID NA TANZANIA BAADA YA KUKABIDHI KOMBE TAIFA JANA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi Kombe Nahodha wa magwiji wa Real Madrid ya Hispania, baada ya kuwafunga magwiji wa Tanzania mabao 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Tanzania
Rais Kikwete akifuatilia mchezo jukwaani
Nahodha wa Real Madrid akiinua juu Kombe lao jana
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Real Madrid
Rais Kikwete akumkabidhi mpira Reuben De La Red baada ya kufunga mabao yote ya Real Madrid

Credit bin zubery

KAMA UNAHISI USHAWAHI KUONA VIDEO CHAFU, BASI HUJAWAHI KUKUTANA NA HII.

zingekuwa zinatengenezwa hapa kwetu tzee, ungekuta serikali imeshazifungia, hii ni kutokana na maadili ya kwenye video hiyo, ila hii hapa ni zaidi ya maadili, na kama unahisi ulishawahi kuona video chafu basi kaa hapa uitizame hii mpya kabisa inaitwa “Pombe yangu”, ni video ya muziki kutoka huko nchini Kenya. Hii video imepata hits 12000 ndani ya masaa matatu tu.

ENZI ZA MADISKO YA SHULE: HEHEHE INAKUKUMBUSHA WAPI HII?!!!!

Zilikuwa nouma kweli hasa kwa
masela waliokosa mademu
wakucheza nao!!!

MAMBO YA KOKO BICHI....JAMANI JAMANI TUTACHOMWA VIBAYA HUKO MOTONI

Jamaa waki naniliuu ndani ya
maji!!!!

Saturday, August 23, 2014

FIGO AWAPA RAHA WATANZANIA REAL MADRID IKIIFUMUA TANZANIA MABAO 3-1 MBELE YA JK

MSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas. Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya kuwakabidhi Kombe Real Madird kwa ushindi huo. Katika mchezo huo, ambao wachezaji waliingia na kutoka, Real Madird walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 10, De La Red akimalizia pasi ya Luis Figo. Mpira uliozaa bao hilo, ulianzia kwa kiungo Christian Karembeu, aliyezuia shambulizi la Tanzania na kuanzisha shambuizi zuri lililozaa matunda, akiuvuka msitu wa wachezaji wa wenyeji kwa umahiri mkubwa. Tanzania Eleven ilisawazisha dakika ya 45 baada ya kona ya Mecky Mexime kuzua kizaa langoni mwa Real na Roberto Rojas akajifunga katika harakati za kuokoa baada ya Kali Ongala kuuparaza kwa kichwa. Kipindi cha pili, De la Red alifunga bao kwa pili kwa penalti dakika ya 81 baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Habib Kondo kwenye eneo la hatari. Awali ya hapo, Figo alimtoka vizuri beki Mecky Mexime na kuingia hadi kwenye eneo la hatari akiwa kwenye nafasi ya kufunga akampasia De La Red ambaye alipiga nje. De la Red alikamilisha hat trick yake dakika ya 88 baada ya kuwazidi maarifa mabeki wa Tanzania Eeleven. Wachezaji wa timu zote mbili wanatarajiwa kula chakula cha usiku na Mheshimiwa Rais Ikulu baadaye. Na mdadisiblog/festosaimon

HAYA NDO MATOKEO YA EPL KATI YA CHELSEA VS LEICESTER

MSHAMBULIAJI Diego Costa ameendelea kung’ara Chelsea baada ya jioni hii kuiwezesha The Blues kushinda mechi ya pili mfululizo Ligi Kuu ya England kwa kuichapa Leicester City mabao 2-0 Uwanja Stamford Bridge. Costa alifunga bao la kwanza dakika ya 62, kabla ya Eden Hazard kufunga la pili dakika ya 77. Diego Costa alimpisha mkongwe Didier Drogba dakika ya 80 huku akipigiwa makofi wakati anatoka nje. Kikosi cha Chelsea kilikuwa; Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Matic, Fabregas, Oscar/Willian dk70, Hazard, Schurrle/Ramires dk64 na Costa/ Drogba dk80. Leicester City; Schmeichel, De Laet, Konchesky, Morgan, Hammond/Taylor-Fletcher dk73, King, Schlupp, Mahrez/Albrighton dk68, Nugent na Ulloa/Wood dk84. Na mdadisiblog/festosaimon

SAMUEL ETO’O AMTEGA PABAYA MARIO BALOTELLI,

Anakwenda Merseyside? Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Samuel Eto’o anaweza kujiunga na Liverpool. MCAMEROON, Samuel Eto’o yuko tayari kukamilisha usajili wa ghafla kujiunga na Liverpool. Mario Balotelli aliwasili Merseyside jana kujaribu kukamilisha uhamisho wa paundi milioni 16 kujiunga Anfield, lakini kama dili litashindikana, nafasi yake itachukuliwa na Mcameroon. Inafahamika kuwa mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea alipimwa afya na Liverpool akiwa mjini Paris jana ijumaa. Eto’o mwenye miaka 33 ambaye anaishi mji mkuu wa Ufaransa, amekubali dili la miezi 12 (mwaka mmoja) kujiunga na Liverpool na anasubiri kupanda ndege kwenda kusaini mkataba. Eto’o aliripotiwa kuvutiwa na Everton kwa siku chache zilizopita, lakini kigezo cha kucheza ligi ya mabingwa kimemfanya aichague Liverpool.Na mdadisiblog/festosaimon

 ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG HII ILA TUNAOMBA UJIUNGE NASI KWA KUBONYA HAPA