Sunday, August 24, 2014

KISA NI CHA KWELI SIO HADITHI PITIA

Habari wana wadau…!!! Huu ni mkasa wa kweli kabisa na nipo njia panda mpaka sahivi sijui cha kufanya. Nipo kwenye mahusiano na mtoto mkali kweli wa kichaga na tunapendana sana, tumekuwa na mipango na future nzuri tu. Tumevumiliana kwenye shida na raha japo yeye bado anasoma na yupo mwaka wa mwisho. Yeye anakaa Arusha ila anasoma hapa Dar kwenye chuo kimoja. Sasa chuo kilipofungwa si akaenda likizo kwao na likizo hiyo ikaambata na field ya muda mrefu akaniacha hapa dar…!! Bwana weeeh kama ilivyo kawaida kiasili wanaume wengi ila sio wote tamaa ikaja nilikutana na demu mmoja nilikua nakaa nae kitaa na alikua jirani yangu kipindi iko nakaa home kwa wazazi nayeye pia alikua ameshahama kwao anajitegemea so wazazi wake na wangu wanafahamiana vizuri wana urafiki wa kawaida tu. Basi dem sikumtongoza ila tulibadilishana namba za simu tukawa tunawasiliana dem nikilmkaribisha getho anakuja. Alinipa historia ya maisha yake baada ya kupotezana kwa miaka mingi alikua na mtoto mmoja wa kike ila alikua hajaolewa bwana ake baada ya kumpa mimba na mtoto akazaliwa akazuga zuga kama kawaida akakimbia na kumuacha ila hela ya matumizi ya mtoto wake anapeleka kama kawaida kila mwezi. Tukawa marafiki anakuja getho na mm naenda kwake mara moja moja… sikutaka kumtongoza nilitaka siku akija getho nipige tu coz sometime tulikuwa tuna kunywa whisky, wine akiwa anakuja getho. Kuna siku nikalazimisha nikaishia kula mate…..!! siku zilivyokwenda nikamuomba game hapo sijamtongoza wala kumwambia nakupenda akawa staki nataka nikaona anazingua ngoja niachane nae nikawa nampotezea sasa ila kila siku lazima apige simu na kutuma sms sometime najibu ila sometime napotezea….!! Kuna siku akakasirika kwann siimjibu sms zake wala kupokea simu yake nikamwambia nipo tite sana na kazi akasema atafuta namba yangu mimi nikamwambia asifute ila anivumilie tu. Basi bwana siku, miezi ikapita nimeshaanza hata kumsahau ilikua ijumaaa mida ya saa 12 jioni mchepuko ukapiga simu upo wapi nikamwambia nipo getho akanambia napitia hapo nakuja.!! moyoni niksema leo lazima nikumalize ikishindikana leo basi naaachana kabisa na wewe. Nikaenda kuoga fast nikaandaa kondom za kutosha na nikapika chakula changu pale nikijiandaaa kumgegeda uyu kiumbe. Niliposhiba vizuri mtoto akaja siku hiyo hata sikupata tabu nilimshughulikia vya kutosha na alifurahi basi ikawa ndo mchezo wetu na tukakubaliana tukapime na tulivyopima tukajikuta tukawa fresh yani ikawa kama dozi kumbuka sijawahi kumwambia nakupenda. Basi kuna siku akaniuliza hivi unanichezea au unanipenda nikamjibu kwanza nina mpenzi yupo nje ya dar anarudi mwezi wa tisa ukae ukijua hilo nikamwambia tutaendelea hivi hivi akija itakua basi maana nay eye bwana ake wa zamani alikua anamsumbua so nikahisi pia watarudiana tu. Muda ukazidi kwenda nikawa nakula mzigo navyotaka safari hii nikawa naenda kwakwe pale kwangu nikamwambia haiwezekani kuja tena maana kuna mtu anafahamiana na mtoto wa kichaga so ataharibu mambo. Ilileta utata ila akaelewa kwa utata sana na vitisho juu so nikawa naenda tu kwakwe kula mzigo na kusepa..!! Basi mambo yakawa mambo Yule mchepuko akanambia ana mimba tukaenda kupima kweli alikua ana mimba ya mwezi mmoja akawa anataka kutoa mm nikamwambia asitoe nimeukubali yeye akasema sawa hataitoa hii mimba iwapo tu nikubali niende kwa wazazi wake nikajitambulishe moyoni nikasema labda ardhi ipasuke ndo naweza kwenda.. Nikamwambia si unakumbuka lakini nina mtu inawezekana kweli mm kufanya hivyo nikamwambia lea mimba itakua siri baada ya mwaka mmoja kila kitu kitajulikana na kitakuwa wazi kwa kila mtu na mm nitakupa ushirikiano wa kutosha kabisa.. Basi akakataaa akanitishia kutoa nikambembeleza wapi mwsiho wa siku nikamwambia uamuzi ni wako sasa ila siwezi muacha mchaga wangu ila nipo tayari kumkubali mtoto yeye akasema kama staki kwenda kwao anatoa nikamjibu utakua uamuzi wako sio wangu… sasa mchaga wangu anakaribia kuja na mchepuko umenambia umekubali mawazo yangu kuwa atafanya siri kwa mwaka mmoja ila sasa simwamini nahisi atakuja kuniharibia makusudi.. naomba ushauri hapo wadau nifanyaje

0 comments:

Post a Comment