Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete
(kushoto) akimkabidhi Kombe
Nahodha wa magwiji wa Real
Madrid ya Hispania, baada ya
kuwafunga magwiji wa Tanzania
mabao 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar
es Salaam jioni ya leo.
Rais Kikwete katika picha ya
pamoja na magwiji wa Tanzania
Rais Kikwete akifuatilia mchezo
jukwaani
Nahodha wa Real Madrid akiinua
juu Kombe lao jana
Rais Kikwete katika picha ya
pamoja na magwiji wa Real Madrid
Rais Kikwete akumkabidhi mpira
Reuben De La Red baada ya
kufunga mabao yote ya Real
Madrid
0 comments:
Post a Comment