Sunday, August 24, 2014

RAIS KIKWETE ALIVYOJUMUIKA NA MAGWIJI WA REAL MADRID NA TANZANIA BAADA YA KUKABIDHI KOMBE TAIFA JANA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi Kombe Nahodha wa magwiji wa Real Madrid ya Hispania, baada ya kuwafunga magwiji wa Tanzania mabao 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Tanzania
Rais Kikwete akifuatilia mchezo jukwaani
Nahodha wa Real Madrid akiinua juu Kombe lao jana
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Real Madrid
Rais Kikwete akumkabidhi mpira Reuben De La Red baada ya kufunga mabao yote ya Real Madrid

Credit bin zubery

0 comments:

Post a Comment