Wednesday, August 20, 2014
MAMBO YAIVA ZIARA YA REAL MADRID NCHINI… FIGO, OWEN NA KAREMEBU WATUA KESHO DAR
Wednesday, August 20, 2014
No comments
Barcelona wameitaja hii ndio bei ya Suarez lakini kuna mambo yanachanganya.
Wednesday, August 20, 2014
No comments
BAYERN WALIVUNJA 'PROMISI', WALIMUAMBIA GUARDIOLA KWAMBA, KROOS HATOUZWA
Wednesday, August 20, 2014
No comments
BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI PUNDE ZITUFIKIAPO
PERUZI KURASA ZA MBELE NA NYUMA ZA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO JUMATANO
Wednesday, August 20, 2014
No comments
MWANADADA FUNMI AJIACHIA ILE MBYA SIKU YA BIRTHDAY YAKE…CHEKI PICHA HIZI AKIYAKATA MAYENU…!!!
Wednesday, August 20, 2014
No comments
MIZIGO KAMA HII NDIO HUWA INANIFANYA MIMI NISHINDE KUTWA NZIMA HUKO INSTAGRAM
Wednesday, August 20, 2014
No comments
HAYA NDO MATOKEO YA MECHI YA ARSENAL VS BESKITAS,UWANJA WA ATARARK
Wednesday, August 20, 2014
No comments
Hatimaye Man United wakamilisha usajili mwingine – huyu ndio mchezaji wao mpya
Wednesday, August 20, 2014
No comments
Baada ya usajili wa Ander Herrera na Luke Shaw, klabu ya Manchester United leo hii imekamisha usajili wa mchezaji mwingine. Marcos Rojo, beki wa kiargentina aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Sporting Lisbon amethibitishwa rasmi kujiunga na kikosi cha Louis Van gaal.
Rojo ambaye alichaguliwa katika kikosi bora cha kombe la dunia, amejiunga na United kwa ada ya uhamisho wa £16 pamoja na Luis Nani kwenda Sporting kwa mkopo. Manchester United wanaripotiwa kuhamishia nguvu zao kwa Angel di Maria wa Real Madrid.