Wednesday, August 20, 2014

BAYERN WALIVUNJA 'PROMISI', WALIMUAMBIA GUARDIOLA KWAMBA, KROOS HATOUZWA

Bayern Munich walivunja ahadi waliyompa Kocha Pep Guardiola kwamba kiungo Toni Kroos hatouzwa. Uongozi wa Bayern ulimuahidi Guardiola ambaye alisisitiza kiungo huyo ni muhimu sana. Lakini mwisho ilishindikana, akauzwa kwa wababe wa Hispania, Real Madrid. Pamoja na kuwa na Xabi Alonso ambaye ni mmoja wa viungo nyota, Madrid imemwaga mamilioni kumtwaa Kroos ambaye tayari ameanza kuonyesha cheche. Na mdadisiblog/festosaimon

 BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI PUNDE ZITUFIKIAPO 

0 comments:

Post a Comment