 |
Bayern Munich walivunja
ahadi waliyompa Kocha Pep
Guardiola kwamba kiungo
Toni Kroos hatouzwa.
Uongozi wa Bayern
ulimuahidi Guardiola ambaye
alisisitiza kiungo huyo ni
muhimu sana.
Lakini mwisho
ilishindikana, akauzwa kwa
wababe wa Hispania, Real
Madrid.
Pamoja na kuwa na Xabi
Alonso ambaye ni mmoja wa
viungo nyota, Madrid
imemwaga mamilioni kumtwaa
Kroos ambaye tayari ameanza
kuonyesha cheche. Na mdadisiblog/festosaimon |
BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI PUNDE ZITUFIKIAPO
0 comments:
Post a Comment