Thursday, October 23, 2014
 |
Kiungo wa zamani wa Manchester United,
Shinji Kagawa (kulia) akigombea mpira na
mchezaji wa Galatasaray, Felipe Melo katika
mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya
usiku huu nchini Uturuki. Borussia Dortmund
imeshinda 4-0, mabao ya Aubameyang
dakika ya sita na 18, Reus dakika ya 41 na
Ramos dakika ya 83. |
0 comments:
Post a Comment