Thursday, October 23, 2014
|
Mambo yameendelea kuwa
magumu baada ya Liverpool
kuchapwa nyumbani kwa
mabao 3-0 katika mechi ya
Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Real Madrid ndiyo
walioingusha Liverpool
ikiwa nyumbani na
Cristiano Ronaldo akapiga
bao la kwanza kabla
Mfaransa, Karim Benzema
kutupia mbili.
Juhudi za Liverpool kutaka
kusawazisha katika kipindi
cha pili hazikuzaa
matunda. Mshambuliaji wa
Liverpool, Mario Balotelli
alionekana kufanya juhudi,
lakini hakufurukuta. |
0 comments:
Post a Comment