Thursday, October 23, 2014

LIGI YA MABIGWA: ANGALIA LIVERPOOL ILIVOFANYWA KITU MBAYA NA REALMADRID KATIKA UWANJA WA NYUMBANI

Mambo yameendelea kuwa magumu baada ya Liverpool kuchapwa nyumbani kwa mabao 3-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ndiyo walioingusha Liverpool ikiwa nyumbani na Cristiano Ronaldo akapiga bao la kwanza kabla Mfaransa, Karim Benzema kutupia mbili. Juhudi za Liverpool kutaka kusawazisha katika kipindi cha pili hazikuzaa matunda. Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli alionekana kufanya juhudi, lakini hakufurukuta.

0 comments:

Post a Comment