Tuesday, October 21, 2014
|
Ni masaa machache tu yamepita tangu
muziki wa kizazi kipya Tanzania, Bongo Fleva
kumpoteza aliyekuwa staa wa muziki huo
kutoka kundi la TMK Wanaume Family,
aliyekuwa akifahamika kwa jina la YP, taarifa
nyingine ya simanzi inahusu msiba wa
aliyekuwa muigizaji wa Bongo Muvi.
Katika ukurasa wake wa instagram, muigizaji
na mchekeshaji maarufu anayefahamika kwa
jina la Kitale ama Mkude Simba
(@mkudesimbaoriginal), amepost picha ya
muigizaji aliyefariki masaa
machache yaliyopita pia.
Shery Mwana
Kwa mujibu wa Kitale, muigizaji huyo ambaye
jina lake halisi ni ,
aliwahi kushiriki na Kitale katika movie mbali
mbali ikiwemo Kipotabo na Nyumba Nne. |
0 comments:
Post a Comment