Saturday, October 25, 2014

ALIKIBA AFUNGUKA KUHUSU TUHUMA ZA KUKODI WATU WA KUMZOMEA DIAMOND FIESTA

Alikiba ameiambia Bongo5 kuwa hajui uvumi huo umeanza vipi. “Hamna ukweli wowote, naanzaje?,” amehoji. “Siwezi kufanya kitu kama hicho. Kikubwa ni kuwashukuru wana Dar es Salaam walivyonipokea, nimefurahi sana. Hii imenitia moyo na kunifanya niongeze bidii kuwaandalia vitu vizuri zaidi.” Katika hatua nyingine, msanii huyo amesema mashabiki wa muziki wake

 BOFYA HAPA KUSOMA ZAID 

0 comments:

Post a Comment