Thursday, September 04, 2014

SHABIKI HUYU WA YANGA APO JANA ALITOA KALI YA MWAKA MAPEMA MAPEMA KUHUSU JAJA

Jaja akishangilia baada ya kufunga na chini akipongezwa na wenzake
Toa Jaja huyooo; Shabiki aliyenyoosha mkono alipiga yowe la kutaka Geilson Santana Santos 'Jaja' atolewe kipindi cha kwanza. Lakini Mbrazil huyo ndiye aliyeifungia bao pekee Yanga SC leo dakika ya 58.

Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment