Friday, September 05, 2014
 |
MWANASOKA bora wa zamani wa dunia,
Ronaldinho Gaucho amepewa ofa ya kuendelea
kucheza na klabu ya Basingstoke Town.
Timu hiyo ya Ligi ya awali, (Conference South)
imempa ofa ya mkataba nyota hiuyo wa
zamani wa Barcelona na AC Milan ambaye
yuko huru baada ya kuondoka Atletico
Mineiro ya Brazil, kwa mujibu
wa Basingstoke Gazette .
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 pia
amepewa ofa ya kusafiri hadi England na
malazi kama sehemu ya mkataba huo. |
Posted via Blogaway
0 comments:
Post a Comment