Sunday, September 21, 2014

MBEBE WA UKWELI APANGA MIJAMAA KUMI NA MOJA KWA TAMAA ZAKE

Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio mwanamke kumbe ni bonge la kimeo… ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini mara ikaingia massage..baby uko wapi nimekumiss…nikamjibu ndo natoka kazini now..yeye..Basi naomba upitie nyumbani japo nikuone nimekumiss sana we mwanaume. Nikaona isiwe shida ngoja nikamuone roho yake itulie nipo njiani wazo likanijia… Nikapitia duka moja maarufu Sinza na kumnunulia zawadi ya viatu kama suprize nimejikoki mwenyewe naenda kwa babybaby… mademu bwana..! Kufika akanipokea kwa bashasha na mabusu motomoto dady’s home..Yeye.. najua umechoka baby wangu kaa kwa kochi upumzike nataka nikutengenezee juice fresh unayo ipendaga..nikamwambia ngoja kwanza nikupe zawadi yako nikatoa vile viatu na kumpatia akafurahi sana na kuvijaribisha..vilimtosha na kumpendeza..Nikapewa busu lingine la sekunde kazaa.,BOFYA HAPO CHINI KUSOMA ZAIDA√

 BOFYA HAPA KUSOMA ZAID 

0 comments:

Post a Comment