Sunday, September 21, 2014
 |
| Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio
mwanamke kumbe ni bonge la kimeo…
ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini
mara ikaingia massage..baby uko wapi
nimekumiss…nikamjibu ndo natoka kazini
now..yeye..Basi naomba upitie nyumbani
japo nikuone nimekumiss sana we
mwanaume.
Nikaona isiwe shida ngoja nikamuone roho
yake itulie nipo njiani wazo likanijia…
Nikapitia duka moja maarufu Sinza na
kumnunulia zawadi ya viatu kama suprize
nimejikoki mwenyewe naenda kwa
babybaby…
mademu bwana..!
Kufika akanipokea kwa bashasha na
mabusu motomoto dady’s home..Yeye..
najua umechoka baby wangu kaa kwa
kochi upumzike nataka nikutengenezee
juice fresh unayo ipendaga..nikamwambia
ngoja kwanza nikupe zawadi yako nikatoa
vile viatu na kumpatia akafurahi sana na
kuvijaribisha..vilimtosha na
kumpendeza..Nikapewa busu lingine la
sekunde kazaa.,BOFYA HAPO CHINI KUSOMA ZAIDA√ |
BOFYA HAPA KUSOMA ZAID
0 comments:
Post a Comment