Saturday, September 20, 2014
|
Vanessa Mdee aka Vee Money amekanusha
tetesi zilizopo kuwa ana uhusiano wa
kimapenzi na muimbaji wa ‘Nitasubiri’ Jux.
Siku za hivi karibuni, Vanessa na Jux
wamekuwa karibu kiasi cha watu kuhisi
kuwa ni wapenzi.“Unajua labda watu
hawafahamu tu lakini mie na Jux
tumefahamiana muda sana na ni mtu
ambaye huwa tunashauriana hasa mambo
ya kazi zetu,” amesema Vanessa aliyecheka
baada ya kuulizwa swali hilo.
“Ni rafiki yangu wa muda sana sasa
hivi. |
0 comments:
Post a Comment