Wednesday, September 03, 2014
|
Kiungo Sami Khedira wa Real
Madrid atakuwa nje ya
uwanja kwa wiki sita.
Mjerumani huyo ni majeruhi
baada ya kuumia ‘kiazi’ cha
mguu wake wa kushoto.
Daktari wa Real Madrid
amesema atakuwa nje ya
uwanja kwa wiki sita, maana
yake atarejea uwanjani
katikati ya mwezi Oktoba.
Hivi karibuni kulikuwa na
taarifa kwamba Khedira ana
mpango wa kujiunga na
Arsenal, lakini mwishoni
Madrid ilieleza kuwa bado
inamhitaji. |
0 comments:
Post a Comment