Wednesday, September 03, 2014
|
Oops! wahenga walisema ajali haina kinga........
Blac Chyna ni rafiki yake kipenzi kim
kardashian na pia ni mama mtoto wa rapper
Tyga. Mdada huyo ambaye zamani alikuwa ni
stripper, amekuwa ni gumzo kwa muda mrefu
kutokana na makalio yake ambayo watu wengi
wanasema ni ya bandia yaani fake.
Lakini mrembo humbo ambaye kwa sasa ni
model, alikanusha uvumi huo na kusema
makalio yake ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Yaliyojiri hivi karibuni, ni kwamba makalio
hayo yalianza kuporomoka taratibu wakati
anatembea na alipigwa picha akijaribu
kuyafunika na sweta.
Inasemekana dada huyo alioneka akikimbilia
kwa dotka kwa ajili ya marekebisho ya
fasta.....majanga!!
Watu wanasema makalio ya Kim yanaweza
kuwa bandia pia―Samaki mmoja akioza, wote
wameoza heheh |
BONYA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI KIRAHISI PUNDE ZITUFIKIAPO
0 comments:
Post a Comment